Nndu wa Selote
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 733
- 521
Zipo taarifa za uhakika kuwa wazazi wa watoto wanaosoma shuleni kwake wamepewa fomu maalum za kichangisha fedha za kuendeleza shule hiyo ambapo kila mmoja anayakiwa at least achangishe laki tano kwenye hiyo fomu !