Anna Tibaijuka Achunguzwe zaidi

Anna Tibaijuka Achunguzwe zaidi

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,489
Reaction score
18,370
Huyu Waziri anatakiwa kufanyiwa uchunguzi zaidi,
Haiwezekani apate msaada wa sh. 1.6billion
Kwa ajili ya shule yake ambayo bado inatoza ada kubwa ajabu.

Kutokana na nafasi aliyonayo huyu waziri, hasa kwenye maswala ya ardhi inalazimika uchunguzi zaidi ufanyike juu yake,
Kuna uwezekano kamega pande la ardhi ya nchi yetu tayari..
 
Inawezekana ufisadi hakuanza leo. Huwa najiuliza zile pesa alizokua anamwaga hovyo mdogo wake Alex Kajumulo zilikua zinatoka wapi maana inasemekana zilikua za huyu mama!..mama ni tajiri sana na utajiri wake unatatanisha sana japo wengi wataanza kumfahamu sasa. tutajua mengi ngoja tuone
 
Achunguzwe nini wakati ameshakiri kupokea hiyo 1.6 billion kwa kaka yake jr. Kutuambia alikua amemwomba kwa ajili ya shule yake ni utoto huo..Huyu mama ni profesa kweli? Kwa nafasi aliyonayo ya uwaziri anabidi ang'atuke then uchunguzi uendelee...ni ujinga sana kuwaacha hawa watu kwenye system,wasaka tonge...
Maswali ya kawaida:kama ilikua ni hela ya shule iweje imeingizwa kwa personal account yake na siyo ya shule..pili,kama ilikua ni ya shule mbona alitoa cash hata kabla board ya shule kukaa?
Huyu mama ni mwizi sana...inaniuma sana sisi kama wananchi bado tunasikiliza wezi kujitetea na kutoa maazimio ya bunge...
 
Achunguzwe nini wakati ameshakiri kupokea hiyo 1.6 billion kwa kaka yake jr. Kutuambia alikua amemwomba kwa ajili ya shule yake ni utoto huo..Huyu mama ni profesa kweli? Kwa nafasi aliyonayo ya uwaziri anabidi ang'atuke then uchunguzi uendelee...ni ujinga sana kuwaacha hawa watu kwenye system,wasaka tonge...
Maswali ya kawaida:kama ilikua ni hela ya shule iweje imeingizwa kwa personal account yake na siyo ya shule..pili,kama ilikua ni ya shule mbona alitoa cash hata kabla board ya shule kukaa?
Huyu mama ni mwizi sana...inaniuma sana sisi kama wananchi bado tunasikiliza wezi kujitetea na kutoa maazimio ya bunge...

huyu mama alikuwa anatua Bukoba na ndege kubwa individual..
 
Kweli inabidi achunguzwe zaidi wasiwasi upo kuwa utajiri alionao huenda si wa halali
 
Hiyo list ina majina mengi tu akiwemo Chenge au chenge na wengine ni sawa ila kw mama Tiba ndo tatizo?
 
Chuki binafsh zinawasumbua na hamtoweza mpaka Mungu siku akiamu vinginevyo mtapiga sana kelele,sitetei chochote ila kumtolea peke yake macho wakati akina Mkapa wamepiga pesa wako ikulu ofisi ya juu kuliko zote na bado hakuna anayebweka ni upuuzi wa hali ya juu na kama ujinga ungekuwa na madaraja ningeweza kusema mna Phd za ujinga
 
watoto masikin huku wanalipa mil4:5 huyu mama ni tahira au chizi shule yake wanasoma watoto wa matajir tu hakuna masikin.anayelipa ada 4:5mil jimama jiziiiii laana tupu
 
Chuki binafsh zinawasumbua na hamtoweza mpaka Mungu siku akiamu vinginevyo mtapiga sana kelele,sitetei chochote ila kumtolea peke yake macho wakati akina Mkapa wamepiga pesa wako ikulu ofisi ya juu kuliko zote na bado hakuna anayebweka ni upuuzi wa hali ya juu na kama ujinga ungekuwa na madaraja ningeweza kusema mna Phd za ujinga

mna undugu nyie si bure ww nae tahira tu kama uyo proffesor wa wezi
 
Chuki binafsi zipi boya ww...huyu mama hana haja ya kufanyiwa uchunguzi sababu ameshatoa ukweli wa hizo pesa alizochukua..ni mwizi mkubwa sana..wapo wengine wengi ila bado hawajaulizwa hizo pesa zilikua za nini..
Take or leave it...lazima awe headline sababu ya maelezo yake ambayo anayatoa kwa social media.
Nilimwona mpumbavu sana huyu mama,nilipomsikiliza star tv jana asubui.aliposema watu mtaongea sana na mlikua mnaomba mvua iwanyeshee na haijawanyeshea nyinyi...kama waziri wa ardhi,ni sahihi alivyosema?
 
mimi naunga mkono ihi hoja,yawezekana hizo pesa kapewa kwa hisani ya kukamilisha lengo flani eidha kauza ardhi kifisadi,
 
Back
Top Bottom