Habari nzuriKuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.
Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148
View attachment 3581181
Mungu ameanza kushughulika na mmoja baada ya mwingineKuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.
Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148
View attachment 3581181
Huyu Mama wa Kichagga inaonekana aliolewa Zanzibar ndiyo akapata jina Maulida... ni Muislam ( I guess..)Ni MKRISTU au muislam?
Tafadhali amayejua maana, sababu na historia ya majina **ANNA +MAULIDA + KOMU( nadhani jina la kichaga)**Afafanue ili tumjue vizuri marehemu
Kama CHAMA hapana
😆😆😆Habari nzuriView attachment 3581417
Sawa. Tunatunza hii comment.Habari nzuri kabisa hii alikubali kutumiwa na CCM kuiua Chadema matokeo yaka kafa yeye akiiacha Chadema ikizidi kushamiri bado yule mjinga mwingine aliyekuwa makamu wa Sultan Mbowe. Hata Sultan Mbowe ajiangalie sana kwani alikuwa nyuma ya hii michezo yote ya kuihujuma Chadema.
Tunza tuSawa. Tunatunza hii comment.
Yawezekana opposite ikawa correct vile vile.Huyu Mama wa Kichagga inaonekana aliolewa Zanzibar ndiyo akapata jina Maulida... ni Muislam ( I guess..)
Kubwa la maaduina bado!! Mwezi ujao kuna kubwa Zaid linang'oka pia.
Mungu yupi?Mwenyezi Mungu amlaze pema jabali la siasa za upinzani Anna Komu.
Amen
Usaliti ni laanaAiseeeee
Amefariki akiwa kada wa CHADEMA! Itabidi CHADEMA ikamzikeAkazikwe na msajiri sasa, shenzi kabisa.
Kuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.
Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148
View attachment 3581181
Apumzike anapostahiliKuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.
Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148
View attachment 3581181
ThubutuAmefariki akiwa kada wa CHADEMA! Itabidi CHADEMA ikamzike