TANZIA Anna Maulidah Komu Afariki Dunia

Habari nzuri
 
Ni MKRISTU au muislam?

Tafadhali amayejua maana, sababu na historia ya majina **ANNA +MAULIDA + KOMU( nadhani jina la kichaga)**Afafanue ili tumjue vizuri marehemu
 
Mungu ameanza kushughulika na mmoja baada ya mwingine
 
Ni MKRISTU au muislam?

Tafadhali amayejua maana, sababu na historia ya majina **ANNA +MAULIDA + KOMU( nadhani jina la kichaga)**Afafanue ili tumjue vizuri marehemu
Huyu Mama wa Kichagga inaonekana aliolewa Zanzibar ndiyo akapata jina Maulida... ni Muislam ( I guess..)
 
Sawa. Tunatunza hii comment.
 
Mwenyezi Mungu amlaze pema jabali la siasa za upinzani Anna Komu.
Amen
 

Kifo ni kifo tu.
 
Apumzike anapostahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…