Asumpta Mshama kalipwa fadhila gani?
AH AH.. LE MUTUZ SIJUI ANATAKA KUWEUKA. KILA SIKU NAMUONA MITAA YA POSTA MPAA MARA ATOKEE UKU SANAM YA ASKARI MARA ARUDI VILE UKU AKIONGEA PEKE YAKE KASHIKILIA LESSO IMELLOA PEEE MIJASHO.
KM ANA MAWAZO IVI.. MSHAURINI WAPAMBE WAKE ATAWEUKa UYU..
Huyu angaweza kupata uwaziri wa madini kwa alivyoshupaza mishipa ya shingo pale Dodoma ila nadhani elimu yake ndio ndogo kuliko ya my House girl.Asumpta Mshama kalipwa fadhila gani?
Asumpta Mshama kalipwa fadhila gani?
Bila shaka mtakubaliana na mimi kuwa uteuzi uliofanywa jana wa mawaziri haukuzingatia uwezo wa mtu bali ni mchango gani mtu alitoa ktk kuiokoa serikali ktk sakata la escrow,mfano Anna Kilango kumuokoa Pinda.
Asumpta Mshama kalipwa fadhila gani?
Asumpta Mshama kalipwa fadhila gani?
Hajau kupanglia hoja zake ndo maana