tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,191
- 29,749
Mnasamehe et faini za maji! Je,inakuwaje kuhusu Ankara zilizopanda na kuwa juu hasa Arusha na kuwaacha watu katika sintofahamu na maumivu ya madeni ya maji? Huku mamlaka zikiwanyanyasa kwa kuwakatia maji!?
Maji yamegeuka kuwa manyanyaso kwa Watanzania.
Wakati wa kampeni ulaghai wenu ni umeme,barabara, maji n.k.
Lakini imekuwa sio huduma tena bali unyanyasaji. Huko Usa river- Meru-Arusha watu wamekuwa wanakatiwa maji hovyo hovyo tu.
Maji yamegeuka kuwa manyanyaso kwa Watanzania.
Wakati wa kampeni ulaghai wenu ni umeme,barabara, maji n.k.
Lakini imekuwa sio huduma tena bali unyanyasaji. Huko Usa river- Meru-Arusha watu wamekuwa wanakatiwa maji hovyo hovyo tu.