Bobumikwara
Member
- Jul 17, 2014
- 43
- 14
Wakuu ingawa Mungu kampenda zaidi na kumchukua mwimbaji huyu, mimi ananibariki sana kwa nyimbo zake, pia na shuhuda zake katika maisha yake aliyopitia. Naombeni msaada kwa anayefahamu nyimbo zake za kiingereza sababu alikuwa akienda mpaka Nigeria kwa huduma ya uimbaji.