Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Wakati haujafika, hivyo tusipoteze muda kujadili mambo ya Lowassa, japo ushabiki wa kisiasa bungeni umeshtua wengi maana hata Sitta ameonekana akipiga meza kumshangilia Lowassa! Hali hii inaweza kuwa ni kejeli dhidi ya Lowassa! Maovu yake yanafahamika kwa kila Mtanzania, endapo CCM wataamua kumweka agombee Watanzania watamhukumu kwa uhuru wao wa kupiga kura.