Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Ungejua nilivyo na uchungu ndio maana nataka Lowassa arudi madarakani.ndugu yangu jaribuni kuwa nauchungu wataifa hili jamani Sikatai Lowassa alikuwa mtendaji mzuri sana tena sana *ila Kumrudisha Lowassa kwenye madaraka makubwa ni kuliangamiza taifa.
1. lowassa atataka kulipiza kisasi kwakuwa mkuu wa nchi alimtenda vilivyo
2. Lowassa hata kubali demokrasia itawale atawaminya wapinzani na nchi itawaka moto
3.Lowassa hata weza kuliinua taifa kiuchumi