Anguko la taifa laja

ndugu yangu jaribuni kuwa nauchungu wataifa hili jamani Sikatai Lowassa alikuwa mtendaji mzuri sana tena sana *ila Kumrudisha Lowassa kwenye madaraka makubwa ni kuliangamiza taifa.

1. lowassa atataka kulipiza kisasi kwakuwa mkuu wa nchi alimtenda vilivyo
2. Lowassa hata kubali demokrasia itawale atawaminya wapinzani na nchi itawaka moto
3.Lowassa hata weza kuliinua taifa kiuchumi
Ungejua nilivyo na uchungu ndio maana nataka Lowassa arudi madarakani.
 
Nafikiri tumuache Lowassa atumie uhuru wake kama mtanzania, wenye mamlaka ya kumpa urais mtu yeyote ni watanzania kwa hiyo Lowassa hata akiongea maneno yakatoa fedha na watu tukagawana hayatamsaidia kama sisi tutasema no kwenye uchaguzi. Yuko wapi Lau Masha pale mwanza alikuwa waziri wa polisi na Magereza je alishindwaje wakati aliongoza dola la polisi???? Yuko wapi Mama Getruda Mongela aliyeongoza mkutano wa dunia huko Beijing miaka ile????.wako wapi wabunge 23 walioongoza majimbo yao toka 2000 hadi 2005 wa CCM ambao amjimbo yao yamekwenda CDM?????
mWACHENI lOWASSA atumie haki yake lakini cha moto atakiona ktk sanduku la kura.Kwa sasa inchi hii hakuna mgombea toka CCM atakayeweza kumtikisa DR.sLAA hilo halina ubishi kinachotakiwa ni kuanza kumuandalia mazingira mazuri ya kuzoa ushindi lakini mjue huyo ndiyo chaguo la WATANZANIA hata kama CCM wasipokubali kuandika katiba mpya.
Nawasilisha
 
Nafikiri tumuache Lowassa atumie uhuru wake kama mtanzania, wenye mamlaka ya kumpa urais mtu yeyote ni watanzania kwa hiyo Lowassa hata akiongea maneno yakatoa fedha na watu tukagawana hayatamsaidia kama sisi tutasema no kwenye uchaguzi. Yuko wapi Lau Masha pale mwanza alikuwa waziri wa polisi na Magereza je alishindwaje wakati aliongoza dola la polisi???? Yuko wapi Mama Getruda Mongela aliyeongoza mkutano wa dunia huko Beijing miaka ile????.wako wapi wabunge 23 walioongoza majimbo yao toka 2000 hadi 2005 wa CCM ambao amjimbo yao yamekwenda CDM?????
mWACHENI lOWASSA atumie haki yake lakini cha moto atakiona ktk sanduku la kura.Kwa sasa inchi hii hakuna mgombea toka CCM atakayeweza kumtikisa DR.sLAA hilo halina ubishi kinachotakiwa ni kuanza kumuandalia mazingira mazuri ya kuzoa ushindi lakini mjue huyo ndiyo chaguo la WATANZANIA hata kama CCM wasipokubali kuandika katiba mpya.
Nawasilisha


Tupo pamoko mjomba lakini ninahoja kwa hawa jamaa wanamtuhumu Ed Lowasa kama wanamwona ni mwizi kwa nini wasimpeleke mahakamani ili wammalize kabisa kama kweli wako serious hawataki agombee uraisi 2015
 
mi naomba kila siku EL awe mgombea wa magamba 2015 kwani ndo utakuwa mwisho wa chama hicho katika ramani ya siasa za tz. wataungana na dovutwa kuunda kambi isiyo rasmi ya upinzani bungeni.
 
Tupo pamoko mjomba lakini ninahoja kwa hawa jamaa wanamtuhumu Ed Lowasa kama wanamwona ni mwizi kwa nini wasimpeleke mahakamani ili wammalize kabisa kama kweli wako serious hawataki agombee uraisi 2015

uampelekaje LOWASSA mahakamani wakati serikali iliyopo yote ni ya kifisadi? nani atakaye kubali kuendesha hiyo kesi? wakati mwisho wa kesi itabidi jk nayeahusishwe?
 
uampelekaje LOWASSA mahakamani wakati serikali iliyopo yote ni ya kifisadi? nani atakaye kubali kuendesha hiyo kesi? wakati mwisho wa kesi itabidi jk nayeahusishwe?

Ahaaa! Kumbe wale wanaomtuhumu Ed Lowasa waache kufanya hivyo isipokuwa tunatakiwa Kuwamaliza wote (Magambas)
 
Kuendelea kujadili individual walio CCM na kuwahusisha na uchasguzi wa Rais 2015 ni kupoteza muda ni bora tujadili upinzani utakapochukua nchi unatakiwa kupelekaje nchi, hilo ndiyo lililobaki hapa TZ. mimi nimetoka juzi likizo kwetu kijijini hali ni mbaya kwa CCM, kote unakosikia hali ya CCM ni mbaya.
Swali: Tunapojadili mgombea wa CCM na urais tunakuwa hatuzitendei haki akili zetu, ni bora tuzituni tuzielekeze kufikiria yafuatayo;
  1. Upinzani ukichukua nchi 2015 nin kifanyike ili mikataba ya madini irekebishe angalau serikali ianze kukusanya kodi???
  2. Upinzani ukichukua nchi 2015 nin kifanyike ili mikataba ya madini irekebishe angalau serikali ipate asilimia angalau 30% ya mapato ya dhahabu na almasi?????
Vinginevyo tunawapa matumaini CCM ambayo kwa hakika hawana ubavu wa kuyafikia 2015, wasiwasi wetu kwa sasa huenda hata 2015 chama kisifike kikiwa kimoja.
POLENI wana-CCM
 
Huja muelewa never anataka wachangiaji wenye postive mind kwa faida ya taifa hili
Ina maana hoja ya never ya kutaka Lowassa asigombee ndiyo positive mind kwako inawezekana kingxvi kaiona ni negative mind ndiyo maana akaipinga hata mimi naiona ni negative mind na positive mind yangu ni kuwa Lowassa bado anaweza kuwa kiongozi mzuri wa taifa.
 
Fikiria zaidi wewe! kama unaamini hivyo kwa sababu aliipa mchongo richmond, dowans je? leo symbion je? kama alihusika kifisadi juu ya richmond mitambo hiyo haingekuwa ikifanyiwa mpango kila siku wa kuiuzia tanesco umeme maana yeye hayupo serikalini tena. Ebu jiulize kwa nini bado mitambo hiyo kila siku inafanyiwa mpango wa kuuza umeme wake tanesco. Ed bado ananguvu kwenye hilo?

Mkuu ndiyo maana nimehitimisha kwa kusema ilaaniwe CCM kwani hao wanaondeleza hiyo michongo ya Dowans then Symbion ni makada wa CCM.
 
watanzania wengi wanaipigia kura ccm wala si mtu

kama nitakuwa nimemuelewa mtoa mada vizuri: anasisitiza tuwaelimishe watanzania wenzetu wasiwachagueni wezi akina lowasa na wengine wengi wenye tuhuma mbalimbali za kuliibia taifa.
 
Fikiria zaidi wewe! kama unaamini hivyo kwa sababu aliipa mchongo richmond, dowans je? leo symbion je? kama alihusika kifisadi juu ya richmond mitambo hiyo haingekuwa ikifanyiwa mpango kila siku wa kuiuzia tanesco umeme maana yeye hayupo serikalini tena. Ebu jiulize kwa nini bado mitambo hiyo kila siku inafanyiwa mpango wa kuuza umeme wake tanesco. Ed bado ananguvu kwenye hilo?

Kujitoa kwake Serikalini hakumaanishi kutokufahamika kwake Serikalini.Naamini Lowassa bado anayo nguvu kubwa sana kwenye Taifa hili. Kufaa kwa mtu kunatokana na maoni ya mtu binafsi na vigezo anavyo chukulia mtu huyo katika kujiridhisha kwamba yule anayependa kuwa Rais anamfaa..Issue ya Lowassa kujitoa ni danganya toto kwa mtu mwenye kuelewa vizuri system za viongozi wetu wa Kitanzania..!! MKUU YUPO NA ATAENDELEA KUWEPO..!!! Lowassa , Kikwete Mkapa wote ni wale wale tu. Hakuna jipya hapa . Tushukuru mungu siku zina kwenda hadi pale tutakapo amua kubadirika..!!! USIOMBE MWONGOZO !!
 
kama nitakuwa nimemuelewa mtoa mada vizuri: anasisitiza tuwaelimishe watanzania wenzetu wasiwachagueni wezi akina lowasa na wengine wengi wenye tuhuma mbalimbali za kuliibia taifa.
Kilewo umemaliza kabisa! Hilo ndilo jambo la msingi
 
TUKUTUKU mimi nimvutwa zaidi na Avatar yako. Hebu niwekee kwenye thumbnail niweze kuiangalia vizuri. it is also interesting kujua ni watu wa wapi hao?
 
Nadhani ieleweke wazi kuwa kujitoa magamba sio hoja suala kubwa hapa ni kutoa sumu ilioko ndani ya hilo DUDE
 
Back
Top Bottom