Anguko la taifa laja

never

JF-Expert Member
Apr 4, 2011
240
77
Ndugu zangu wanawaJF na wasiyo kuwa wanawaJF ambao huwa wanapita humu kwakuperuziiii na kudadisi ASALAAM ALYKHUMUU.

Nimeamua kutoa mtazamo wangu juu ya anguko la TAIFA hili kwa kile ninachokiona kinavyoendelea kwasasa. nimesikitishwa sana na kauli zinazoendelea huku mitaani na maofisini juu ya nani awekiongozi wataifa hili na watu wengi *wa maofisi wamipongeza forum hii kuwa inauwezo wa kumpanga Rais wataifa hili kuliko taasisi yeyote ile ukilinganisha na wnzetu waliyoendelea huwa na taasisi maalum ya kumchagua Rais hata kama wananchi hamumtaki mtamchagua tu kwambinu wanazozitumia kwa ushawishi mkubwa wa hali ya juu.

Hapa kwetu Tanzania hamna mpango huwo ndiyo maana unasikia kila siku tunatengeneza kizazi cha kifisadi, kizazi cha kulipana kisasi na kizazi cha majigambo hili nianguko la taifa kwasasa. ila niendembali zaidi nipale ninapoendelea kusikia watu makini au forum makini kama hii pamoja na uhuru wa maoni au mawazo watu wanao takiwa kutoa eti na kufikiri kwetu kote TUNAWAZISHWA HUMU LOWASSA aje atawale taifa hili, kiukweli tunaanza kumjengea LOWASSA njia ya URAIS bila sisi kujijua kuwa ni watu muhimu sana katika kupanga na kupangua viongozi bora na wasiyo bora.

Naamini kauli hii wengi watanipinga na wengi wataniunga mkono: turudi nyuma uchaguzi uliyopita JF ilichangia kwakiasi kikubwa mno kumpata mgombea URAIS wa CDM na tuliona tulivyochangia kumpata mgombea makini mwenye uwezo mkubwa kuliko aliyeshinda sasa na hata huku AFRICA KUSINI tulipo forum hii inasifika sana kwa hilo. sasa iweje leo hii tuanze kupoteza malengo yetu kwakutaka kuwarudishia madaraka wezi wakuu wataifa hili? kama sikutaka kuliangamiza taifa kwa ushabiki usiyo na tija yeyote ile kwa mwananchi wa kijijini asiyejua kinachoendelea kwasasa ?

Hofu *hii nimeipata leo kupitia humu humu JF nasikia LOWASSA leo alikuwa anachangia hutuba ya waziri mkuu wengi mmemsifu badala ya kuendelea kumkataa kwa maovu yake aliyoyafanyia taifa mmeanza kusahau na wengine kumuonea hata na huruma. hili niaanguko la taifa na JF mtahusika na hukumu hii pamoja na mimi kwa kuwa ni member humu.

HITIMISHO
Tuanndaeni viongozi makini kwa faida ya dada zetu mama zetu watoto wetu waliyopo vijijini ambao nawao siku moja wanatamani kuliongoza taifa hili na anaweza kuwa viongozi bora kuliko kizazi chtu cha sasa. haya ni maoni yangu na wewe unaweza fikri zaidi yangu kwa kulisaidia taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI JF......
 
Ndugu zangu wanawaJF na wasiyo kuwa wanawaJF ambao huwa wanapita humu kwakuperuziiii na kudadisi ASALAAM ALYKHUMUU.

Nimeamua kutoa mtazamo wangu juu ya anguko la TAIFA hili kwa kile ninachokiona kinavyoendelea kwasasa. nimesikitishwa sana na kauli zinazoendelea huku mitaani na maofisini juu ya nani awekiongozi wataifa hili na watu wengi *wa maofisi wamipongeza forum hii kuwa inauwezo wa kumpanga Rais wataifa hili kuliko taasisi yeyote ile ukilinganisha na wnzetu waliyoendelea huwa na taasisi maalum ya kumchagua Rais hata kama wananchi hamumtaki mtamchagua tu kwambinu wanazozitumia kwa ushawishi mkubwa wa hali ya juu.

Hapa kwetu Tanzania hamna mpango huwo ndiyo maana unasikia kila siku tunatengeneza kizazi cha kifisadi, kizazi cha kulipana kisasi na kizazi cha majigambo hili nianguko la taifa kwasasa. ila niendembali zaidi nipale ninapoendelea kusikia watu makini au forum makini kama hii pamoja na uhuru wa maoni au mawazo watu wanao takiwa kutoa eti na kufikiri kwetu kote TUNAWAZISHWA HUMU LOWASSA aje atawale taifa hili, kiukweli tunaanza kumjengea LOWASSA njia ya URAIS bila sisi kujijua kuwa ni watu muhimu sana katika kupanga na kupangua viongozi bora na wasiyo bora.

Naamini kauli hii wengi watanipinga na wengi wataniunga mkono: turudi nyuma uchaguzi uliyopita JF ilichangia kwakiasi kikubwa mno kumpata mgombea URAIS wa CDM na tuliona tulivyochangia kumpata mgombea makini mwenye uwezo mkubwa kuliko aliyeshinda sasa na hata huku AFRICA KUSINI tulipo forum hii inasifika sana kwa hilo. sasa iweje leo hii tuanze kupoteza malengo yetu kwakutaka kuwarudishia madaraka wezi wakuu wataifa hili? kama sikutaka kuliangamiza taifa kwa ushabiki usiyo na tija yeyote ile kwa mwananchi wa kijijini asiyejua kinachoendelea kwasasa ?

Hofu *hii nimeipata leo kupitia humu humu JF nasikia LOWASSA leo alikuwa anachangia hutuba ya waziri mkuu wengi mmemsifu badala ya kuendelea kumkataa kwa maovu yake aliyoyafanyia taifa mmeanza kusahau na wengine kumuonea hata na huruma. hili niaanguko la taifa na JF mtahusika na hukumu hii pamoja na mimi kwa kuwa ni member humu.

HITIMISHO
Tuanndaeni viongozi makini kwa faida ya dada zetu mama zetu watoto wetu waliyopo vijijini ambao nawao siku moja wanatamani kuliongoza taifa hili na anaweza kuwa viongozi bora kuliko kizazi chtu cha sasa. haya ni maoni yangu na wewe unaweza fikri zaidi yangu kwa kulisaidia taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI JF......

mkuu nikuunge mkono kwa haya yote uliyo yanena ni mambo ya msingi na yanamaana katika taifa letu
 
Ndugu zangu wanawaJF na wasiyo kuwa wanawaJF ambao huwa wanapita humu kwakuperuziiii na kudadisi ASALAAM ALYKHUMUU.

Nimeamua kutoa mtazamo wangu juu ya anguko la TAIFA hili kwa kile ninachokiona kinavyoendelea kwasasa. nimesikitishwa sana na kauli zinazoendelea huku mitaani na maofisini juu ya nani awekiongozi wataifa hili na watu wengi *wa maofisi wamipongeza forum hii kuwa inauwezo wa kumpanga Rais wataifa hili kuliko taasisi yeyote ile ukilinganisha na wnzetu waliyoendelea huwa na taasisi maalum ya kumchagua Rais hata kama wananchi hamumtaki mtamchagua tu kwambinu wanazozitumia kwa ushawishi mkubwa wa hali ya juu.

Hapa kwetu Tanzania hamna mpango huwo ndiyo maana unasikia kila siku tunatengeneza kizazi cha kifisadi, kizazi cha kulipana kisasi na kizazi cha majigambo hili nianguko la taifa kwasasa. ila niendembali zaidi nipale ninapoendelea kusikia watu makini au forum makini kama hii pamoja na uhuru wa maoni au mawazo watu wanao takiwa kutoa eti na kufikiri kwetu kote TUNAWAZISHWA HUMU LOWASSA aje atawale taifa hili, kiukweli tunaanza kumjengea LOWASSA njia ya URAIS bila sisi kujijua kuwa ni watu muhimu sana katika kupanga na kupangua viongozi bora na wasiyo bora.

Naamini kauli hii wengi watanipinga na wengi wataniunga mkono: turudi nyuma uchaguzi uliyopita JF ilichangia kwakiasi kikubwa mno kumpata mgombea URAIS wa CDM na tuliona tulivyochangia kumpata mgombea makini mwenye uwezo mkubwa kuliko aliyeshinda sasa na hata huku AFRICA KUSINI tulipo forum hii inasifika sana kwa hilo. sasa iweje leo hii tuanze kupoteza malengo yetu kwakutaka kuwarudishia madaraka wezi wakuu wataifa hili? kama sikutaka kuliangamiza taifa kwa ushabiki usiyo na tija yeyote ile kwa mwananchi wa kijijini asiyejua kinachoendelea kwasasa ?

Hofu *hii nimeipata leo kupitia humu humu JF nasikia LOWASSA leo alikuwa anachangia hutuba ya waziri mkuu wengi mmemsifu badala ya kuendelea kumkataa kwa maovu yake aliyoyafanyia taifa mmeanza kusahau na wengine kumuonea hata na huruma. hili niaanguko la taifa na JF mtahusika na hukumu hii pamoja na mimi kwa kuwa ni member humu.

HITIMISHO
Tuanndaeni viongozi makini kwa faida ya dada zetu mama zetu watoto wetu waliyopo vijijini ambao nawao siku moja wanatamani kuliongoza taifa hili na anaweza kuwa viongozi bora kuliko kizazi chtu cha sasa. haya ni maoni yangu na wewe unaweza fikri zaidi yangu kwa kulisaidia taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI JF......
Lowassa akichukua fomu nitampigia kampeni la nguvu.
 
Lowassa akichukua fomu nitampigia kampeni la nguvu.

ndugu yangu jaribuni kuwa nauchungu wataifa hili jamani Sikatai Lowassa alikuwa mtendaji mzuri sana tena sana *ila Kumrudisha Lowassa kwenye madaraka makubwa ni kuliangamiza taifa.

1. lowassa atataka kulipiza kisasi kwakuwa mkuu wa nchi alimtenda vilivyo
2. Lowassa hata kubali demokrasia itawale atawaminya wapinzani na nchi itawaka moto
3.Lowassa hata weza kuliinua taifa kiuchumi
 
Lowasa akiwa kiongozi wa nchi, atakuwa kama gadafi, kila kitu kitakuwa mali yake
 
Lowassa akichukua fomu nitampigia kampeni la nguvu.

Katiba ya JMT inakupa uhuru huo ila believe me CCM na wagombea wake wote tunawapiga chini, ni wezi, wabadhirifu, hawana dira wala hawajui kiongozi wa kuleta maendeleo katika karne hii anatakiwa kuwa ni wa kaliba gani.

CCM na akina Lowassa wamepitwa kabisa na wakati, they are the reason why TZ is one the poorest countries of the world. They will never be part of the solution for our troubles because they have created them.

Kama nchi tunaanza upya na chama kipya na viongozi wapya wa kitaifa.
 
ndugu yangu jaribuni kuwa nauchungu wataifa hili jamani Sikatai Lowassa alikuwa mtendaji mzuri sana tena sana *ila Kumrudisha Lowassa kwenye madaraka makubwa ni kuliangamiza taifa.

1. lowassa atataka kulipiza kisasi kwakuwa mkuu wa nchi alimtenda vilivyo
2. Lowassa hata kubali demokrasia itawale atawaminya wapinzani na nchi itawaka moto
3.Lowassa hata weza kuliinua taifa kiuchumi

Kwani huyu aliyepo madarakani amefanikiwa kuyafanya haya unayoyasema?kwani huyu aliyepo madarakani siyo fisadi?
 
huo ni mtazamo wako wewe humtaki wengne tunamhitaji sasa usilazime kile unachokiamini wewe ndo kionekane sahihi
 
Kwani huyu aliyepo madarakani amefanikiwa kuyafanya haya unayoyasema?kwani huyu aliyepo madarakani siyo fisadi?

Aliyo madarakani ni Fisadi na anayetakiwa kuingia madarakani vile vile ni fisadi, niliyo yanena hapo nimmoja alimsaliti rafiki yake so rafiki akabaki na mshangao mkubwa sana kwani hata hivi sasa maswahiba wawili wa familia hiyo yaani RZ1 na FRDY hawapeani hata salaam sasa unategemea nini? na huyu jamaa aliyeingia madarakani alikuja kwa visasi kwa BEN
 
Ndugu never, ujue kila jambo lina sababu. Hili jukwaa anaingia kila mtu. Ni sawa na mtu anayeishi ufukweni akafungulia dirisha ili apate upepo mwanana, badala yake ukaingia upepo na mazagazaga. Kuna wafuasi wa kila mwanasiasa humu
 
huo ni mtazamo wako wewe humtaki wengne tunamhitaji sasa usilazime kile unachokiamini wewe ndo kionekane sahihi

YAP. naamini mimi kila niliwazalo linafaa kwa wakati wangu kama unaona halifai piga kimya
 
Ndugu never, ujue kila jambo lina sababu. Hili jukwaa anaingia kila mtu. Ni sawa na mtu anayeishi ufukweni akafungulia dirisha ili apate upepo mwanana, badala yake ukaingia upepo na mazagazaga. Kuna wafuasi wa kila mwanasiasa humu

ndiyo maana ni kasema lazima tuangalie taifa kwanza haya mambo ya ufuasi yameliangamiza taifa hili kwa mud mrefu sana, hatuna budi kusahau urafiki kwa muda na kuingia katika utendaji kamanda
 
Ndugu zangu wanawaJF na wasiyo kuwa wanawaJF ambao huwa wanapita humu kwakuperuziiii na kudadisi ASALAAM ALYKHUMUU.

Nimeamua kutoa mtazamo wangu juu ya anguko la TAIFA hili kwa kile ninachokiona kinavyoendelea kwasasa. nimesikitishwa sana na kauli zinazoendelea huku mitaani na maofisini juu ya nani awekiongozi wataifa hili na watu wengi *wa maofisi wamipongeza forum hii kuwa inauwezo wa kumpanga Rais wataifa hili kuliko taasisi yeyote ile ukilinganisha na wnzetu waliyoendelea huwa na taasisi maalum ya kumchagua Rais hata kama wananchi hamumtaki mtamchagua tu kwambinu wanazozitumia kwa ushawishi mkubwa wa hali ya juu.

Hapa kwetu Tanzania hamna mpango huwo ndiyo maana unasikia kila siku tunatengeneza kizazi cha kifisadi, kizazi cha kulipana kisasi na kizazi cha majigambo hili nianguko la taifa kwasasa. ila niendembali zaidi nipale ninapoendelea kusikia watu makini au forum makini kama hii pamoja na uhuru wa maoni au mawazo watu wanao takiwa kutoa eti na kufikiri kwetu kote TUNAWAZISHWA HUMU LOWASSA aje atawale taifa hili, kiukweli tunaanza kumjengea LOWASSA njia ya URAIS bila sisi kujijua kuwa ni watu muhimu sana katika kupanga na kupangua viongozi bora na wasiyo bora.

Naamini kauli hii wengi watanipinga na wengi wataniunga mkono: turudi nyuma uchaguzi uliyopita JF ilichangia kwakiasi kikubwa mno kumpata mgombea URAIS wa CDM na tuliona tulivyochangia kumpata mgombea makini mwenye uwezo mkubwa kuliko aliyeshinda sasa na hata huku AFRICA KUSINI tulipo forum hii inasifika sana kwa hilo. sasa iweje leo hii tuanze kupoteza malengo yetu kwakutaka kuwarudishia madaraka wezi wakuu wataifa hili? kama sikutaka kuliangamiza taifa kwa ushabiki usiyo na tija yeyote ile kwa mwananchi wa kijijini asiyejua kinachoendelea kwasasa ?

Hofu *hii nimeipata leo kupitia humu humu JF nasikia LOWASSA leo alikuwa anachangia hutuba ya waziri mkuu wengi mmemsifu badala ya kuendelea kumkataa kwa maovu yake aliyoyafanyia taifa mmeanza kusahau na wengine kumuonea hata na huruma. hili niaanguko la taifa na JF mtahusika na hukumu hii pamoja na mimi kwa kuwa ni member humu.

HITIMISHO
Tuanndaeni viongozi makini kwa faida ya dada zetu mama zetu watoto wetu waliyopo vijijini ambao nawao siku moja wanatamani kuliongoza taifa hili na anaweza kuwa viongozi bora kuliko kizazi chtu cha sasa. haya ni maoni yangu na wewe unaweza fikri zaidi yangu kwa kulisaidia taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI JF......

Ninaima kuwa wafuasi wa magamba wale safi watakuunga mkono ila wale bendera fuata upepo aisee watakupinga hawo, maana huwa hawapendi ukweli ila umenena mkuuu
 
ndugu yangu jaribuni kuwa nauchungu wataifa hili jamani Sikatai Lowassa alikuwa mtendaji mzuri sana tena sana *ila Kumrudisha Lowassa kwenye madaraka makubwa ni kuliangamiza taifa.

1. lowassa atataka kulipiza kisasi kwakuwa mkuu wa nchi alimtenda vilivyo
2. Lowassa hata kubali demokrasia itawale atawaminya wapinzani na nchi itawaka moto
3.Lowassa hata weza kuliinua taifa kiuchumi


Unaweza kueleza kosa hasa la Ed Lowasa linalokufanya wewe uamini haya?
 
Kwangu mimi Lowasa ni kama shetani mbele za Mungu, hastahili msamaha hata kidogo, yaani kila ninapoona mgao wa umeme nazidi kumchukia huyu fisadi nyangumi Lowasa.Ole wenu nyie mnaompigia debe Lowasa kwa urais wa 2015.ALAANIWE LOWASA, ILAANIWE CCM NA WALAANIWE WOOOOOOOOOOOOOOOOOOTE WANAOMPIGIA DEBE HUYU MWIZI.
 
Kwangu mimi Lowasa ni kama shetani mbele za Mungu, hastahili msamaha hata kidogo, yaani kila ninapoona mgao wa umeme nazidi kumchukia huyu fisadi nyangumi Lowasa.Ole wenu nyie mnaompigia debe Lowasa kwa urais wa 2015.ALAANIWE LOWASA, ILAANIWE CCM NA WALAANIWE WOOOOOOOOOOOOOOOOOOTE WANAOMPIGIA DEBE HUYU MWIZI.

Fikiria zaidi wewe! kama unaamini hivyo kwa sababu aliipa mchongo richmond, dowans je? leo symbion je? kama alihusika kifisadi juu ya richmond mitambo hiyo haingekuwa ikifanyiwa mpango kila siku wa kuiuzia tanesco umeme maana yeye hayupo serikalini tena. Ebu jiulize kwa nini bado mitambo hiyo kila siku inafanyiwa mpango wa kuuza umeme wake tanesco. Ed bado ananguvu kwenye hilo?
 
Ed Lowasa alifanywa mbuzi wa kafara tu na JK !na mi naamini ipo siku kila kitu kitajulikana! TUSUBIRI.
 
Back
Top Bottom