Distant Relatives
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 415
- 729
Kumekuwa na wimbi la Mainstream medias kama magazeti kusimamisha uzalishaji. Kumekuwa na kambi mbili za mawazo juu ya chanzo. Wapo wanaoamini ni kutokana na Serikali kubinya uhuru wa habari-POLITICS na kambi ya Pili ikiamini ni nguvu ya Social Medias-TECHNOLOGY.
Sasa muda huu nimejikuta nasikiliza Radio One. Kwenye Habari zao za siku hizi ndio habari ambazo wamezitangaza.
1. JPM amfuta kazi DED Igunga
2. Mafuriko mtwara yaathiri nyumba 29.
3. Ziara ya kushtukiza ya 2nd VP Zanzibar bandarini.
4. RC Mgwira aongoza mazishi ya familia iliyoteketea kwa moto huko Moshi.
5. RC Singida aagiza maduka yanayoshamirisha maambukizi ya ukimwi kufungwa
6. PM Kapokea madarasa Ruangwa
Habari 5/6 (90%) nilikua tayari nimezipata kupitia JF, Twitter na YouTube.
Ukichukua kasi ya ongezeko la matumizi ya internet kwa watanzania (TCRA: Mil 23 mwaka 2018), ni dhahiri kuwa Mainstream Medias iko siku za mwisho wa uhai wake na lawama kwa kiasi kikubwa ni Social Medias.
Sasa muda huu nimejikuta nasikiliza Radio One. Kwenye Habari zao za siku hizi ndio habari ambazo wamezitangaza.
1. JPM amfuta kazi DED Igunga
2. Mafuriko mtwara yaathiri nyumba 29.
3. Ziara ya kushtukiza ya 2nd VP Zanzibar bandarini.
4. RC Mgwira aongoza mazishi ya familia iliyoteketea kwa moto huko Moshi.
5. RC Singida aagiza maduka yanayoshamirisha maambukizi ya ukimwi kufungwa
6. PM Kapokea madarasa Ruangwa
Habari 5/6 (90%) nilikua tayari nimezipata kupitia JF, Twitter na YouTube.
Ukichukua kasi ya ongezeko la matumizi ya internet kwa watanzania (TCRA: Mil 23 mwaka 2018), ni dhahiri kuwa Mainstream Medias iko siku za mwisho wa uhai wake na lawama kwa kiasi kikubwa ni Social Medias.