kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,071
- 1,428
Najua una jibu mkuuili iweje mkuu
Najua una jibu mkuuili iweje mkuu
Kikivutwa juu kitahatarisha uhai wa viumbe vingine huko especial wale mkulu anaotaka akawaongozeeKuna 85% ya kusababisha madhara kwa RAIA
Lakini kama chombo hiki kingewekwa ktk mzunguko wa nguvu ya uvutani hata kama kingepoteza nguvu bado kingeendelea kuvutwa na nguvu ya uvutani sijui kwa nini China wamefanya kitu cha hatari namna hii au labda huenda uwezo wao wa teknolojia ni mdogo walishindwa kukiweka sehemu ambayo kitatumia nguvu ya uvutani ya jua na Dunia
Labda kimeghairKwa hiyo kilishaanguka ama tuendelee kukisubiria