Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,056
- 6,208
Jamaa namshangaa Sana!ccm inatumia dola kubaki madarakani ye hajui?Mwaka 2015, Lowasa: Ndugu zangu tukishindwa kuitoa CCM madarakani mwaka huu, itatuchukua miaka mingine 50 kuipata chance kama hii tuliyoipata sasa. Muandika mada bila shaka ww ni mgeni wa siasa za Tanzania, haujui yaliotokea miaka ya 2008 hadi 2010 kati ya JK na kina marehemu Sita ila ulipofika wakati wa uchaguzi mkuu 2010 wote wakawa kitu kimoja. Mwaka 2015 ndio wengi walijua CCM inamfia mikononi Kikwete na kufikia mpaka hatua ya Mbowe kuanza kujiandaa kuwa wazuri mkuu wa Tanzania, kilichotokea kila mtu anakijua. Mwaka 2020 kina Kinana na Makamba wamerekodiwa hadi sauti ila ulipofika uchaguzi waliungana na yule waliemsema vibaya. Kwahiyo mleta mada kusubiri CCM kunyukana 2025 ni sawa na kusubiri Mike Tyson kuwa mchezaji wa yanga.
Yaani wewe unashangaa ndevu kwa Osama?Kwa muda mrefu sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli tumeshuhudia minyukano ya wazi ya kutokukubaliana baina ya Makada wa CCM kuhusu mwenendo wa baadhi ya mambo yawahusuyo wao kwa wao.
Hivi karibuni kwa mfano Makada na waliopata kuwa Katibu wa Nec na Uenezi wa chama kile ndugu Nape Nnauye na mwenzake ndugu Hamfrey Polepole kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamekuwa wakiandika maneno ya kejeri ambayo kwayo hutafsirika kwa wapambe wao kama ni kutupiana ndogo baina yao.
Aliyekoleza zaidi minyukano hiyo ni Kada mwingine na M/kiti mustaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM bwana Bulembo alipojitokeza na kumnanga waziwazi ndugu Polepole na aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM hapo kabla ndugu Bashiru Ally kwamba kwa upamoja wao walikuwa wageni ndani ya CCM na alishangazwa na ukimbelembele wao kuhusu CCM ilihali hawana hizo sifa za kukisemea CCM kupitiliza.
Ikumbukwe bwana Polepole alikuwa anaendesha kipindi maarufu kijulikanacho 'shule ya uongozi' ambacho ni wazi kilikuwa mwiba kwa kina Bulembo na wenzake hali iliyopelekea baadhi ya Makada kuomba TCRA ikifungie kipindi hicho kwa madai eti kinamkosea adabu Mkuu wa Nchi.
Hivi sasa kipindi hicho kimefungiwa kwa muda usiojulikana.
Ni mengi yasikikayo mtaani na kwenye mitandao ya kijamii inavyotia mashaka uwezo wa CCM kujisimamia yenyewe kumaliza tofauti za Makada wake.
Kolezo la kutisha zaidi kuhusu mgogoro huo ni pale mapema jana Spika wa Bunge la Tanzania na mwanachama wa CCM aliposema deni la nchi ni kubwa na anadhani endapo Viongozi wataendelea kukopa huenda Nchi itauzwa kufidia madeni hayo.
Rais Samia mapema leo aliposhuhudia utilianaji saini kuhusu mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Makutupora kwenda Tabora amenukuliwa kuwananga wanaohoji namna anavyokopa kwa ajili ya miradi ya maendeleo jambo ambalo wadadisi wa mambo wanahisi pengine alikuwa akimjibu bwana Spika kwa alichokisema jana kuhusu deni la Taifa.
Je,minyukano hiyo na mingine inayoendelea itakiacha CCM imara ama ndiyo anguko lake li karibu?!
KANU na UPC vyote vilikuwa ni vyama dola lkn leo hii imebakia storiItaangukaje wakati ccm sio chama cha siasa tena bali ni dola kamili?
Hii ni karne ya 21 ya kidijitali wachana na mambo ya historia.Mwaka 2015, Lowasa: Ndugu zangu tukishindwa kuitoa CCM madarakani mwaka huu, itatuchukua miaka mingine 50 kuipata chance kama hii tuliyoipata sasa. Muandika mada bila shaka ww ni mgeni wa siasa za Tanzania, haujui yaliotokea miaka ya 2008 hadi 2010 kati ya JK na kina marehemu Sita ila ulipofika wakati wa uchaguzi mkuu 2010 wote wakawa kitu kimoja. Mwaka 2015 ndio wengi walijua CCM inamfia mikononi Kikwete na kufikia mpaka hatua ya Mbowe kuanza kujiandaa kuwa wazuri mkuu wa Tanzania, kilichotokea kila mtu anakijua. Mwaka 2020 kina Kinana na Makamba wamerekodiwa hadi sauti ila ulipofika uchaguzi waliungana na yule waliemsema vibaya. Kwahiyo mleta mada kusubiri CCM kunyukana 2025 ni sawa na kusubiri Mike Tyson kuwa mchezaji wa yanga.
Kwahiyo wewe ndiyo msemaji wake?Bila Coup d'état hamna kitu jombaa..!! Mabadiliko kwenye hii nchi yapo mikononi mwa cheo cha CDF pekee
Nchi ikikosa "Continuity" ni hatari sana.Kwa muda mrefu sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli tumeshuhudia minyukano ya wazi ya kutokukubaliana baina ya Makada wa CCM kuhusu mwenendo wa baadhi ya mambo yawahusuyo wao kwa wao.
Hivi karibuni kwa mfano Makada na waliopata kuwa Katibu wa Nec na Uenezi wa chama kile ndugu Nape Nnauye na mwenzake ndugu Hamfrey Polepole kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamekuwa wakiandika maneno ya kejeri ambayo kwayo hutafsirika kwa wapambe wao kama ni kutupiana ndogo baina yao.
Aliyekoleza zaidi minyukano hiyo ni Kada mwingine na M/kiti mustaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM bwana Bulembo alipojitokeza na kumnanga waziwazi ndugu Polepole na aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM hapo kabla ndugu Bashiru Ally kwamba kwa upamoja wao walikuwa wageni ndani ya CCM na alishangazwa na ukimbelembele wao kuhusu CCM ilihali hawana hizo sifa za kukisemea CCM kupitiliza.
Ikumbukwe bwana Polepole alikuwa anaendesha kipindi maarufu kijulikanacho 'shule ya uongozi' ambacho ni wazi kilikuwa mwiba kwa kina Bulembo na wenzake hali iliyopelekea baadhi ya Makada kuomba TCRA ikifungie kipindi hicho kwa madai eti kinamkosea adabu Mkuu wa Nchi.
Hivi sasa kipindi hicho kimefungiwa kwa muda usiojulikana.
Ni mengi yasikikayo mtaani na kwenye mitandao ya kijamii inavyotia mashaka uwezo wa CCM kujisimamia yenyewe kumaliza tofauti za Makada wake.
Kolezo la kutisha zaidi kuhusu mgogoro huo ni pale mapema jana Spika wa Bunge la Tanzania na mwanachama wa CCM aliposema deni la nchi ni kubwa na anadhani endapo Viongozi wataendelea kukopa huenda Nchi itauzwa kufidia madeni hayo.
Rais Samia mapema leo aliposhuhudia utilianaji saini kuhusu mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Makutupora kwenda Tabora amenukuliwa kuwananga wanaohoji namna anavyokopa kwa ajili ya miradi ya maendeleo jambo ambalo wadadisi wa mambo wanahisi pengine alikuwa akimjibu bwana Spika kwa alichokisema jana kuhusu deni la Taifa.
Je,minyukano hiyo na mingine inayoendelea itakiacha CCM imara ama ndiyo anguko lake li karibu?!
Kuna kipindi hata ndani ya dola kunaweza tokea makundi .ipo siku yaja huwezi aminiJamaa namshangaa Sana!ccm inatumia dola kubaki madarakani ye hajui?
Ha ha ha! Mkuu umenifanya nicheke; nimeyakumbuka yale magenge ya poda kule Marekani ya Kusini - Mexico, Haiti (walimuua hadi rais majuzi); akina Pablo Escober, et. al. wanauana hadi magerezani kisa kupishana kauli! Hatari sana.Hiyo ni sawa na vita ya magenge ya wauza dawa za kulevya (Cartels) wakipambana kudhibiti soko.
Ccm ni genge la wahuni tu wanaoshindana kudhibiti keki ya Taifa, hakuna mwenye huruma katika hayo magenge ya wahalifu wa Ccm.
Hao ndio ccm, waweza kuifananisha pia na kikundi cha kigaidi.Ha ha ha! Mkuu umenifanya nicheke; nimeyakumbuka yale magenge ya poda kule Marekani ya Kusini - Mexico, Haiti (walimuua hadi rais majuzi); akina Pablo Escober, et. al. wanauana hadi magerezani kisa kupishana kauli! Hatari sana.
Ni kama vile wapinzani bila kumsimamisha mgombea alietoka CCM kama walivyofanya kwa Lowasa, basi watanzania hawawapigii kura wala hawafiki kwenye mikutano yao.Jamaa namshangaa Sana!ccm inatumia dola kubaki madarakani ye hajui?
Ndugai ahojiwe kwani analeta taharuki kwa wananchi. Kitendo cha Spika wa Bunge kusema kuna hatari nchi ikapigwa mnada kutokana na madeni makubwa ni kuleta taharuki kwa wananchi na hivyo ahojiwe na jeshi la polisi.Kwa muda mrefu sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli tumeshuhudia minyukano ya wazi ya kutokukubaliana baina ya Makada wa CCM kuhusu mwenendo wa baadhi ya mambo yawahusuyo wao kwa wao.
Hivi karibuni kwa mfano Makada na waliopata kuwa Katibu wa Nec na Uenezi wa chama kile ndugu Nape Nnauye na mwenzake ndugu Hamfrey Polepole kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamekuwa wakiandika maneno ya kejeri ambayo kwayo hutafsirika kwa wapambe wao kama ni kutupiana ndogo baina yao.
Aliyekoleza zaidi minyukano hiyo ni Kada mwingine na M/kiti mustaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM bwana Bulembo alipojitokeza na kumnanga waziwazi ndugu Polepole na aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM hapo kabla ndugu Bashiru Ally kwamba kwa upamoja wao walikuwa wageni ndani ya CCM na alishangazwa na ukimbelembele wao kuhusu CCM ilihali hawana hizo sifa za kukisemea CCM kupitiliza.
Ikumbukwe bwana Polepole alikuwa anaendesha kipindi maarufu kijulikanacho 'shule ya uongozi' ambacho ni wazi kilikuwa mwiba kwa kina Bulembo na wenzake hali iliyopelekea baadhi ya Makada kuomba TCRA ikifungie kipindi hicho kwa madai eti kinamkosea adabu Mkuu wa Nchi.
Hivi sasa kipindi hicho kimefungiwa kwa muda usiojulikana.
Ni mengi yasikikayo mtaani na kwenye mitandao ya kijamii inavyotia mashaka uwezo wa CCM kujisimamia yenyewe kumaliza tofauti za Makada wake.
Kolezo la kutisha zaidi kuhusu mgogoro huo ni pale mapema jana Spika wa Bunge la Tanzania na mwanachama wa CCM aliposema deni la nchi ni kubwa na anadhani endapo Viongozi wataendelea kukopa huenda Nchi itauzwa kufidia madeni hayo.
Rais Samia mapema leo aliposhuhudia utilianaji saini kuhusu mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Makutupora kwenda Tabora amenukuliwa kuwananga wanaohoji namna anavyokopa kwa ajili ya miradi ya maendeleo jambo ambalo wadadisi wa mambo wanahisi pengine alikuwa akimjibu bwana Spika kwa alichokisema jana kuhusu deni la Taifa.
Je,minyukano hiyo na mingine inayoendelea itakiacha CCM imara ama ndiyo anguko lake li karibu?!
Ingekuwepo Tume huru ya uchaguzi na kura za Watanzania zingekuwa na thamani CCM ingeshaanguka kitambo sana. Kwa vile CCM hii inategemea mbeleko ya NEC,Polisi na TISS hata waboronge vipi wataendelea kutawala tu kwa mtutu wa bundukiKwa muda mrefu sasa baada ya kifo cha Hayati Magufuli tumeshuhudia minyukano ya wazi ya kutokukubaliana baina ya Makada wa CCM kuhusu mwenendo wa baadhi ya mambo yawahusuyo wao kwa wao.
Hivi karibuni kwa mfano Makada na waliopata kuwa Katibu wa Nec na Uenezi wa chama kile ndugu Nape Nnauye na mwenzake ndugu Hamfrey Polepole kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamekuwa wakiandika maneno ya kejeri ambayo kwayo hutafsirika kwa wapambe wao kama ni kutupiana ndogo baina yao.
Aliyekoleza zaidi minyukano hiyo ni Kada mwingine na M/kiti mustaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM bwana Bulembo alipojitokeza na kumnanga waziwazi ndugu Polepole na aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM hapo kabla ndugu Bashiru Ally kwamba kwa upamoja wao walikuwa wageni ndani ya CCM na alishangazwa na ukimbelembele wao kuhusu CCM ilihali hawana hizo sifa za kukisemea CCM kupitiliza.
Ikumbukwe bwana Polepole alikuwa anaendesha kipindi maarufu kijulikanacho 'shule ya uongozi' ambacho ni wazi kilikuwa mwiba kwa kina Bulembo na wenzake hali iliyopelekea baadhi ya Makada kuomba TCRA ikifungie kipindi hicho kwa madai eti kinamkosea adabu Mkuu wa Nchi.
Hivi sasa kipindi hicho kimefungiwa kwa muda usiojulikana.
Ni mengi yasikikayo mtaani na kwenye mitandao ya kijamii inavyotia mashaka uwezo wa CCM kujisimamia yenyewe kumaliza tofauti za Makada wake.
Kolezo la kutisha zaidi kuhusu mgogoro huo ni pale mapema jana Spika wa Bunge la Tanzania na mwanachama wa CCM aliposema deni la nchi ni kubwa na anadhani endapo Viongozi wataendelea kukopa huenda Nchi itauzwa kufidia madeni hayo.
Rais Samia mapema leo aliposhuhudia utilianaji saini kuhusu mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Makutupora kwenda Tabora amenukuliwa kuwananga wanaohoji namna anavyokopa kwa ajili ya miradi ya maendeleo jambo ambalo wadadisi wa mambo wanahisi pengine alikuwa akimjibu bwana Spika kwa alichokisema jana kuhusu deni la Taifa.
Je,minyukano hiyo na mingine inayoendelea itakiacha CCM imara ama ndiyo anguko lake li karibu?!