Anguko kubwa linakuja Oktoba

Anguko kubwa linakuja Oktoba

Utajisikiaje ukiamka ukakuta ukawa wamechukua nchi?
 
Wewe utakuwa huitakii mema nchi yetu. Ccm iondoke kwanza madarakani
 
Mbowe na Seif hawana cha kupoteza wameshapiga fedha zao saa hizi wanacheka cheka tu.

Nilikuwa sina hamu na chadema lakini nilikuwa nawaheshimu kama wapinzani, sasa nimewadharau sana kwa jinsi walijidharaulisha kwa kununuliwa na Lowasa, na anawatukana wazi wazi anawaambia anachukia masikini.

Khaa! Kawanunua viongozi wa chadomo kwa thamani ndogo sana.
 
Mbowe na Seif hawana cha kupoteza wameshapiga fedha zao saa hizi wanacheka cheka tu.

Nilikuwa sina hamu na chadema lakini nilikuwa nawaheshimu kama wapinzani, sasa nimewadharau sana kwa jinsi walijidharaulisha kwa kununuliwa na Lowasa, na anawatukana wazi wazi anawaambia anachukia masikini.

Khaa! Kawanunua viongozi wa chadomo kwa thamani ndogo sana.

Lowasa ajasema hilo neno ,alichosema anauchukia umasikini,kuna tofauti ya Masikini na Umasikini,Badilika ndugu acha porojooo..,,,
 
Tunashukuru kwa kuwa mtabiri wa nyota za siasa ila tusubiri tu tutaona wenyewe maana siku hiyo si mbali ni miezi mitatu tu tutajua. Kama sayansi nadhani hao ndo wamefanya kwa sayansi zaidi maana walishaalika shirika la kimataifa kuwaelekeza nini kifanywe na wakaona bila chembe ya shaka kuwa uamzi sahihi kati ya maamzi yaliyokuwepo ni huu
 
Lowasa ajasema hilo neno ,alichosema anauchukia umasikini,kuna tofauti ya Masikini na Umasikini,Badilika ndugu acha porojooo..,,,

Utakuwa na umasikini kama hauna masikini?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Utakuwa na umasikini kama hauna masikini?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Ndio hichoo alichokisema Lowasa anauchukia umasikini,,umasikini usababishwa na nini? Kwanza elimu duni,miundo mbinu ,ajira ,rushwa..kwa baadhi ya viongozi wa nchi ,,wakijijali wao tuu na familia zao,,,Sasa kama wewe ,unaona ni tusi sawaa, ,
 
Ndio hichoo alichokisema Lowasa anauchukia umasikini,,umasikini usababishwa na nini? Kwanza elimu duni,miundo mbinu ,ajira ,rushwa..kwa baadhi ya viongozi wa nchi ,,wakijijali wao tuu na familia zao,,,Sasa kama wewe ,unaona ni tusi sawaa, ,

Anachukia masikini.

Ingekuwa elimu ndiyo inaleta utajiri, Bakhresa angekuwa masikini wa mwisho, hajamaliza hata darasa la nne. - Kumbuka hilo

Na ingekuwa elimu ndiyo inaleta utajiri, wewe umefika darasa la ngapi? mbona humpati Bakhresa? hata mfanya kazi wa ndani wa Bakhresa humpati kwa pesa. Pia angetajirika Nyerere aliyesoma toka enzi hizo, na wote mnasema kafa masikini.

Lowasa si angewatajirisha Watanzania alipokuwa na nyadhifa tofauti alipokuwa Serikalini, kawa mpaka waziri mkuu, alimtajirisha nani zaidi ya yeye mwenyewe tu?

Lowasa ana uchu wa madaraka na kawapata wa kuwanunua, sababu zako za umasikini ni muflis kabisa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
.
 
FaizaFoxy ,nilikuwa nakukubali kusoma kila ukichangia uzi hapa ,duu kumbe kichwa maji namna hii,, mimi sijasoma nimeishia chekechea hilo upuuzi huu ulioandika unaonyesha jinsi gani ubongo wako ulivyo mgando kama unga wa ngano ulioandaliwa kuhokea pizza
 
Anachukia masikini.

Ingekuwa elimu ndiyo inaleta utajiri, Bakhresa angekuwa masikini wa mwisho, hajamaliza hata darasa la nne. - Kumbuka hilo

Na ingekuwa elimu ndiyo inaleta utajiri, wewe umefika darasa la ngapi? mbona humpati Bakhresa? hata mfanya kazi wa ndani wa Bakhresa humpati kwa pesa. Pia angetajirika Nyerere aliyesoma toka enzi hizo, na wote mnasema kafa masikini.

Lowasa si angewatajirisha Watanzania alipokuwa na nyadhifa tofauti alipokuwa Serikalini, kawa mpaka waziri mkuu, alimtajirisha nani zaidi ya yeye mwenyewe tu?

Lowasa ana uchu wa madaraka na kawapata wa kuwanunua, sababu zako za umasikini ni muflis kabisa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
.

Kumbuka hakuna mwanasiasi asiyekuwa na uchu wa madaraka.,ukiona mwanasiasa hataki madaraka ujue si mwanasiasa huyo ,acha ushabiki FaizaFoxy..,
 
Fikiri kwanza, matendo ya ukombozi hata hilo la weza tokea. Kifo na ufufuko. Lowasa alikufa amefufuka, Chadema itakufa na itafufuka. Slaa amekufa atafufuka. Yoke yawezekana.
 
Kumbuka hakuna mwanasiasi asiyekuwa na uchu wa madaraka.,ukiona mwanasiasa hataki madaraka ujue si mwanasiasa huyo ,acha ushabiki FaizaFoxy..,

Kweli MaCCM wamekugandisha huo Ubongo mpk unaamini heti Elimu sio muhimu,,kwa Maendeleo..na unasema kabisa mbona Bakhresa Tajiri,kichwa Maji kabisa wewe ,Ndio unataka tuendelee kuongozwa na Vichwa Maji wenzanko CCM kiujanja ujanja tuu. ,,hili mwananchi Atoke kimaisha kama Bakhresa ,,weee wa Ajabu kweli,,,Elimu ndio ufunguo wa Maisha ,FaizaFozy.usijidanganye..,Nchi za ulaya na Amerika zinatoa elimu nzuri kwa wananchi wake ,leo hii unakuta hizo Nchi ndio zenye maendeleo,ajira,hi tech ya nguvu ,wananchi neno la kuhitwa maskini wanalisikia tuu Nchi za Afrika zikihitwa hivyo..,wewe Elimu unafananisha na Bakhresa??? duuu kweli bureeeee .wewe Kabisa.na Elimu yako..
 
Mie sikubalian na hill ccm sio mkombozi Ila ni wezi tu.tubadilike!
 
Wewe utakuwa huitakii mema nchi yetu. Ccm iondoke kwanza madarakani

Tofauti ya CCM na CDM au hata CUF kwa sasa ni nini? Ni Sera zao, muonekano, uadilifu au nini? Hakun hata kimoja kati ya hivyo. Mnasujumwa na panic zenu tu lakini kiukweli hakuna upinzani hapo msidanganywe. Kila mtu anao uhuru wa kuchagua ila mchague mkijua ni CCM A na B ndiyo zinazogombea Ukuu wa nchi. Kwangu mimi ni bora zimwi likujualo maana halikuli likakwisha.
 
Back
Top Bottom