Fundi manyumba 01
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,113
Alafu kuna watu wanakuja na utoto wao au uzwazwa anakuuliza et umekua tajiri daahNikufatilia
Mimi huwa natumia siku ya Thursday kufanikiwa katika mambo yangu
Siri -siku hii huwa ni fasting and prayers in Muslim .
Siku ya kutembelea makaburi kwa watu wa imani ya Hindu ,budha.
So unashauriwa ukitaka kupata power itafute na manifest mambo yako
Kuhusu namba ambayo hujirudia Sana ni moja
Utajiringanishaje na mtu usiyemjua?Naweza kusema hivo mkuu.
Nikiringanisha na wewe
nashukuru kwa maelezo mkuuInadvisable katika ulimwengu wa number hizi ni message kutoka kwa ulimwengu au malaika au higher power
Kuna number pia zinaaminika ni lucky number, kama 9, 3....au unaona kwenye kamari 777, na hizi number huwa zinatofautiana from different cultures.
Mfano kuna watu wanaamini 666 ni number la sherwani wengine wanaamini ni number za kheri
nasikia wanasema huwezi kukwepa hizi namba, popote utakapoenda lazima ukutane nazo na zinatokea muda ambao jambo fulani linaenda kutokea.Na kila inapotokea huwa naangalia nipo katika tukio gani na nafanya nini..
Kwa sasa nimeachana nazo kidogo ila nimegundua kuna maana ndugu zangu haya mambo ni serious.
View attachment 3007901
Haya yaishe mkuuUtajiringanishaje na mtu usiyemjua?
mbona unakuwa na akili za kiccm
Ndio mkuu mimi mpaka leo hii huwa naona huu mfatanoDuh aisee so baada ya hapo ukawa unaiona?
Ndio mkuu sasa mimi nimekua mfatiliaji sana aiseenasikia wanasema huwezi kukwepa hizi namba, popote utakapoenda lazima ukutane nazo na zinatokea muda ambao jambo fulani linaenda kutokea.
sasa kibaya kwenye hizi namba huwa zinakufosi uamini matukio yake na huwa yanatokea kweli na ndyo maana huwezi kuziepukaMimi siamini Katika hizo namba lakini nimejikuta nikifanya vitu vyangu tar. Zenye 9 to mention few nimezaliwa tar 29/5 nikazaa mtoto wangu wa kwanza tar 29/6 nikazaa wa pili tar. 19/9
Unakutana na zari... Ila inategemea japo sijawahi kukutana na mkosi kwa hizi nambanamaanisha unakutana na zali au mkosi?