Habari wakuu.
Hili ni onyo na angalizo kwa kijana wa Hayati Baba wa Taifa J.K. NYERERE; Ndg. Makongoro Nyerere.
Nimesikia umeteuliwa kuwa mjumbe wa NEC ya CCM. Hongera.
Sasa nasikia Mzee Kinana amejiuzulu.
Pia kuna tetesi kwamba wenye chama wanataka wakupe wewe hiyo nafasi.
Pamoja na kuwa wewe ni mwanafalsafa kiasi flani. Ila naamini wewe una utu na ni mpenda haki. Mapungufu yako mengine si hoja.
Sasa kwa wewe kuikubali hiyo nafasi itabidi uwe mtetezi wa Mwenyekiti na ufuate matakwa yake. Ndio hulka ya huyu mwenyekiti wenu wa sasa.
Kama hutaki anakushughulikia.
Je, utaenda kuisimamia CCM ipi ? Hii inayowabagua watanzania kwa vyama?! Eti ndg. Mako?!! Hii ya akina Mnyeti, Makonda na Mrisho Gambo. Ya kibaguzi na matabaka. .! Sio ile ya umoja wa watanzania ya mwl Nyerere.
Nakushauri kataa kabisa hiyo nafasi kama wkt ule ulivyoukataa ubunge wa kuteuliwa wa Mzee Mkapa.
Kulinda hadhi ya Mzee J.K. Nyerere kataa kabisa.
Kuna mawili utachafuka sana na hautasafishika tena ukiikubali.
Au la...uchague kunyamaza kama ilivyokuwa kwa Mzee Kinana.
Huo Ndio ushauri wangu.
Usijemalizwa kisiasa. Usijeua hadhi ya Baba wa Taifa.
Ahsante.
Hili ni onyo na angalizo kwa kijana wa Hayati Baba wa Taifa J.K. NYERERE; Ndg. Makongoro Nyerere.
Nimesikia umeteuliwa kuwa mjumbe wa NEC ya CCM. Hongera.
Sasa nasikia Mzee Kinana amejiuzulu.
Pia kuna tetesi kwamba wenye chama wanataka wakupe wewe hiyo nafasi.
Pamoja na kuwa wewe ni mwanafalsafa kiasi flani. Ila naamini wewe una utu na ni mpenda haki. Mapungufu yako mengine si hoja.
Sasa kwa wewe kuikubali hiyo nafasi itabidi uwe mtetezi wa Mwenyekiti na ufuate matakwa yake. Ndio hulka ya huyu mwenyekiti wenu wa sasa.
Kama hutaki anakushughulikia.
Je, utaenda kuisimamia CCM ipi ? Hii inayowabagua watanzania kwa vyama?! Eti ndg. Mako?!! Hii ya akina Mnyeti, Makonda na Mrisho Gambo. Ya kibaguzi na matabaka. .! Sio ile ya umoja wa watanzania ya mwl Nyerere.
Nakushauri kataa kabisa hiyo nafasi kama wkt ule ulivyoukataa ubunge wa kuteuliwa wa Mzee Mkapa.
Kulinda hadhi ya Mzee J.K. Nyerere kataa kabisa.
Kuna mawili utachafuka sana na hautasafishika tena ukiikubali.
Au la...uchague kunyamaza kama ilivyokuwa kwa Mzee Kinana.
Huo Ndio ushauri wangu.
Usijemalizwa kisiasa. Usijeua hadhi ya Baba wa Taifa.
Ahsante.