Angalizo kwa wapenzi tulionao

Angalizo kwa wapenzi tulionao

Kwahiyo unataka nikipata Demu nimpeleke kwa balozi wa nyumba kumi,kisha nimpeleke kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa kisha nimpeleke Rita,nimpitishe na NIDA,ndio nile papuchi!
Acha ujinga
ha ha ha ha ukimpeleka huko stimu zote zitapotea
 
Ni hatari ila ndyo ajali kazini,

Kuna Dada alikua shule mkoa Mwingine mbali na home, zile rikizo fupi harudi home kumbe Sometimes anachomoka kwenda Kwa boyfriend, akapata ujauzito wakaforce kuutoa si akaanza kuumwa, mshkaji akaona huu msala akamtoroka Dada wa watu kamuacha ghetto kwake akafariki, majirani wameskia harufu, so sad wazazi wakaambiwa tu mje mchukue maiti.
 
Ni hatari ila ndyo ajali kazini,

Kuna Dada alikua shule mkoa Mwingine mbali na home, zile rikizo fupi harudi home kumbe Sometimes anachomoka kwenda Kwa boyfriend, akapata ujauzito wakaforce kuutoa si akaanza kuumwa, mshkaji akaona huu msala akamtoroka Dada wa watu kamuacha ghetto kwake akafariki, majirani wameskia harufu, so sad wazazi wakaambiwa tu mje mchukue maiti.
Inasikitisha sana
 
Ni hatari ila ndyo ajali kazini,

Kuna Dada alikua shule mkoa Mwingine mbali na home, zile rikizo fupi harudi home kumbe Sometimes anachomoka kwenda Kwa boyfriend, akapata ujauzito wakaforce kuutoa si akaanza kuumwa, mshkaji akaona huu msala akamtoroka Dada wa watu kamuacha ghetto kwake akafariki, majirani wameskia harufu, so sad wazazi wakaambiwa tu mje mchukue maiti.
Hatari sana haya mambo.Huyo kijana alitokomea au alipatikana?
 
Back
Top Bottom