george tiru
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 200
- 147
Naomba kutoa angalizo kwa wadau wa usafirishaji hasa trucks. Kuna mzigo wa WFP unapakiwa Bandari ya Dar kwenda DRC na Bunia.
Huyu main contractor aliyepewa kazi ya kusafirisha huo mzigo ni matatizo matupu, si mlipaji kabisa si advance wala balance. Ukipakia gari ujue itakaa si chini ya wiki 3 hapa kabla hujaondoka. Hiyo balance ndo sahau.
Sasa basi kama utapeleka gari yako basi its your own risk, na tunaomba WFP mbadilishe utaratibu la sivyo hatutatoa magari yetu kupakia huo mzigo.
Wenye masikio na wasikie.
Huyu main contractor aliyepewa kazi ya kusafirisha huo mzigo ni matatizo matupu, si mlipaji kabisa si advance wala balance. Ukipakia gari ujue itakaa si chini ya wiki 3 hapa kabla hujaondoka. Hiyo balance ndo sahau.
Sasa basi kama utapeleka gari yako basi its your own risk, na tunaomba WFP mbadilishe utaratibu la sivyo hatutatoa magari yetu kupakia huo mzigo.
Wenye masikio na wasikie.