GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Wakati tupo bado tuna majonzi yakuondokewa na mpiganaji mwenzetu Ndg. Regia Mtema kutokana na ajali ya gari na mazingira mazima ya chanzo cha ajali yake. Ilivyo na inavyo julikana ni kuwa viongozi km wabunge, mawaziri nk hupewa pesa yakuwalipa madereva wao kutoka mamlaka zinazohusika.
Kwa maana hiyo , basi tunawaomba waajiri madereva ambao ni qualified kwa kazi hiyo kuliko wao kujipa jukumu la kuendesha magari hayo hasa hasa kwenye safari ndefu. Hii kwanza itaongeza ajira na vile vile itapunguza ajali kwani wao sio professional drivers, wawaajiri watu wenye professional hiyo waifanye kazi hiyo.
Kwa maana hiyo , basi tunawaomba waajiri madereva ambao ni qualified kwa kazi hiyo kuliko wao kujipa jukumu la kuendesha magari hayo hasa hasa kwenye safari ndefu. Hii kwanza itaongeza ajira na vile vile itapunguza ajali kwani wao sio professional drivers, wawaajiri watu wenye professional hiyo waifanye kazi hiyo.