mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,595
- 8,878
Acha ngono hiyo ndo dawaUgonjwa huu Mungu atuepushie.
Acha ngono hiyo ndo dawaUgonjwa huu Mungu atuepushie.
Acha ngono hiyo ndo dawa
Ukimuhoji vizuri huyo jamaa yako utakuta alikuwa anafakamia sana vidosho vya hapo chuo. Na kama alikuwa na vihela ndio kabisaaaRaia wengine si kujiamini kisa Wana mbavu wanaenda wanakuutana na majanga
Ni ngono zembe mkuu!!Acha ngono hiyo ndo dawa
Acha kujidanganya ndugu yangu hakuna kudunda we sikia tu stori za mtaani Ukimwi ni hatari, hao wanaokunywa dawa ni kama gari ya mkaa tripu shamba tripu gereji, leo mzima kesho unaamka mgonjwa.. huna uhakika wa maisha... ugonjwa unaokunywa dawa kila siku si hatari? Ukimwi ni tishio Mungu atuepusheRaia Wana HIV positive,Wanakunywa dawa na wanadunda kitaa kama kawaida.
Upande wangu siwezi kwenda pima hiyo kitu.
Mkuu binafsi siwez Kupuuza kwa ninayoyaona elimu inahitajika Sana kwa jamii yetu
Watoto wakike?? ko wewe utaki mambo ya kwichikwichiSiku hizi Hospital zote za Serikali lazima upimwe kama hutaki hupewi huduma nyingine, baada ya kujaza taarifa zako mapokezi unapokelewa kwa mbwembwe na sehemu ya kwanza wanaita vipimo vya awali hapo hakuna namna ni lazima na baadhi ya private hospital wanakupa option kama unataka kupimwa. Nilitamani kutoa chozi hapo kipimo cha awali ila nikaona naumwa halafu nakimbia nini sasa itavokuwa na iwe ina nashukuru majibu yalikuwa safi toka siku hiyo sitaki mazoea na watoto wa kike kabisa maana wewe sikua tuu ila ukipima unakuwa na amani ya moyo acha tuu
NB: Sikwenda kwa ajili ya kupima HIV ila ilinibidi ili kupata huduma zingine lazima nipimwe, nafikiria ambao wanakutana na situation hii halafu wanakuta kitu imo sijui inakuwaje aisee lazima upungue kilo kama 100 hivi ndani ya wiki.
Kwa niliyopitia Mkuu wacha nitulie tuu kama Chris Rock anavosema “ I love pussy, but I like peace more . Peace is better than pussy”Watoto wakike?? ko wewe utaki mambo ya kwichikwichi
Ko hata kwenda nae kupima hutaki!? Au ndo umuamini mtu? Coz hata mkipima atachepuka akakuketea?Kwa niliyopitia Mkuu wacha nitulie tuu kama Chris Rock anavosema “ I love pussy, but I like peace more . Peace is better than pussy”
Baadae sana huko ila kwa sasa kama ni simu nimeweka Flight ✈️ Mode.Ko hata kwenda nae kupima hutaki!? Au ndo umuamini mtu? Coz hata mkipima atachepuka akakuketea?
Twende tukapimeUkimwi upo na unaua!
Aliekuambia ninafanya ngono zembe ni nani?
wanatisha sana wanao sema kama unauogopa ndo unaupataBaadae sana huko ila kwa sasa kama ni simu nimeweka Flight ️ Mode.
CipimiRafiki yangu nimemaliza nae chuo pamoja yupo vizuri tu, afya Safi.. Akapata scholarship ya America ikabidi process zianze jamaa akaambiwa apime..
Hapo ndipo jamaa tulipoanza safari ya kumkosa hivi hivi.. Kwa stress mwili unapungua kila siku chanzo.. Amekutwa positive HIV..
Nikawaza kwanini jamaa aanze kupungua hivi baada ya positive? Shida imeanza wap? Mbona alikua mbafu nene?
Jamaa Hana Amani Anaisha kila siku. Hebu chukua ujumbe huu Kisha tafakari maisha yako na Kisha mshauri ndugu yako usikatize uhai Bure ndugu yangu kwa niliyoyaona siwez jipelekea Angaza Adi niwe nimejitafakari vizuri!