Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
SawaUkoje?
SawaUkoje?
Hahaha kwanini mkuu? Ila kikubwa ni kujitambua Kua ukoje maaana daah maisha ya VVU sio aiseeRaia Wana HIV positive,Wanakunywa dawa na wanadunda kitaa kama kawaida.
Upande wangu siwezi kwenda pima hiyo kitu.
Hongera acha Michepuko Ukimwi utakutafuna mkuuSawa
Mh..
Akuepushie kwa vipi?Unaguna nini
Sawa MkuuHongera acha Michepuko Ukimwi utakutafuna mkuu
Raia wengine si kujiamini kisa Wana mbavu wanaenda wanakuutana na majangaUshaambiwa ugonjwa hauna tiba sasa ukipima ugundue nini.....
Na wenye Ukimwi siku hizi hawajulikani kabisaa.. Hata watoto wadogo wana afya zaoo nzuri tuu..! usimpime mtu kwa macho mkuuRaia wengine si kujiamini kisa Wana mbavu wanaenda wanakuutana na majanga
Mtu akijiona mbavu,akiona hata mafua hayajawahi msumbua,anaona hana shida😂😂😂😂😂Raia wengine si kujiamini kisa Wana mbavu wanaenda wanakuutana na majanga
Canada,Australia,South Korea,Kuna nchi za uarabuni kadhaa huingiiiKwani ukiwa na UKIMWI huruhusiwi kwenda nje ya nchi?
Rafiki yangu nimemaliza nae chuo pamoja yupo vizuri tu, afya Safi.. Akapata scholarship ya America ikabidi process zianze jamaa akaambiwa apime..
Hapo ndipo jamaa tulipoanza safari ya kumkosa hivi hivi.. Kwa stress mwili unapungua kila siku chanzo.. Amekutwa positive HIV..
Nikawaza kwanini jamaa aanze kupungua hivi baada ya positive? Shida imeanza wap? Mbona alikua mbafu nene?
Jamaa Hana Amani Anaisha kila siku. Hebu chukua ujumbe huu Kisha tafakari maisha yako na Kisha mshauri ndugu yako usikatize uhai Bure ndugu yangu kwa niliyoyaona siwez jipelekea Angaza Adi niwe nimejitafakari vizuri!
Mkuu ili upate nafasi ya kusoma nje ya nchi unajaza form za medical, hivyo lazima upimwe na ukichakachua ukifika kule unapimwa airport ,Yan mtu unatoka nyumbani kwako unaend hospitali kupima ngoma???? Ili ugundue nini???? Ukishajikuta nao unafanya je???? Tatizo tunapenda kujipa stress bure. Kapime magonjwa yenye tiba
Ukiumwa sana utaenda kupima tu, huwa haina jinsi.Nimepima na sasa najilinda najiamini, nitaendelea kupima kila miezi 3.Raia Wana HIV positive,Wanakunywa dawa na wanadunda kitaa kama kawaida.
Upande wangu siwezi kwenda pima hiyo kitu.
Hapo ndipo huwa watu hawamuelewi Deception ,kuwa na HIV haimaanishi una AIDS..hv vitu havina uhusiano.Rafiki yangu nimemaliza nae chuo pamoja yupo vizuri tu, afya Safi.. Akapata scholarship ya America ikabidi process zianze jamaa akaambiwa apime..
Hapo ndipo jamaa tulipoanza safari ya kumkosa hivi hivi.. Kwa stress mwili unapungua kila siku chanzo.. Amekutwa positive HIV..
Nikawaza kwanini jamaa aanze kupungua hivi baada ya positive? Shida imeanza wap? Mbona alikua mbafu nene?
Jamaa Hana Amani Anaisha kila siku. Hebu chukua ujumbe huu Kisha tafakari maisha yako na Kisha mshauri ndugu yako usikatize uhai Bure ndugu yangu kwa niliyoyaona siwez jipelekea Angaza Adi niwe nimejitafakari vizuri!
Sipendi, sihitaji, sifikirii, sijisikii, siwezi kupima UKIMWIRafiki yangu nimemaliza nae chuo pamoja yupo vizuri tu, afya Safi.. Akapata scholarship ya America ikabidi process zianze jamaa akaambiwa apime..
Hapo ndipo jamaa tulipoanza safari ya kumkosa hivi hivi.. Kwa stress mwili unapungua kila siku chanzo.. Amekutwa positive HIV..
Nikawaza kwanini jamaa aanze kupungua hivi baada ya positive? Shida imeanza wap? Mbona alikua mbafu nene?
Jamaa Hana Amani Anaisha kila siku. Hebu chukua ujumbe huu Kisha tafakari maisha yako na Kisha mshauri ndugu yako usikatize uhai Bure ndugu yangu kwa niliyoyaona siwez jipelekea Angaza Adi niwe nimejitafakari vizuri!