Elections 2010 Angalieni star tv wazalendo, mjadala endelevu huko...

urasa

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
434
2
Kweli nchi yetu ina wazalendo.luat star tv,the guy is smart na real patriotic
 
Hatujakupata vema. Ni nini kinaendelea? hatuko karibu na TV wengine.
 
Mjadala mzuri, wajadili wametulia. Hivi star tv wanaendesha hiki kipindi kila siku? Kama ndivyo basi wagombea wa chadema wachangamkie furs hii kwani siku zimebakia chache
 
Wanadiscuss mambo mbalimbali kama wanaharakati so far nimesikia wanaliongearea tangazo liliopigwa marufuku na TBC,uhuru wa vyombo vya habari,ukaguzi wa mahesabu ya NGOS etc.
Ila ni recorded inaonekana live ilikuwa asbui
 
kWELI ccm kazi mnayo huyu mama anamchana live JK..Kwa kukata mdaharo nimeipenda hii - mpaka raha
 
Na huyu jamaa wa policy forum na anamwita JK ni mwonga wa kutetea hoja zake...anatoa mfano kama house girl tuna mhoji ewejemtu tunaetaka kumpa urais tusimhoji....
 
Mama Nkya nasema kuwa mdahalo ni kama interview manake anayekataa he is not fit for the job
 
Mkuu wa kaya kapata aibu kweli kukimbia midahalo, midahalo sio kuwa unaenda kutangaza sera zako ila waatu wanataka kujua zaidi ya hizo sera zako, umefanya nini na utafanya nini, sio suala kusema sisi ni maarafu so hatuhitaji kujulikana, midahalo sio kujulikana, bali ni kuwambia Watanzania umewafanyia nini na utawafanyia nini tena wakikuchagua tena.

so far kwenye nchi zenye watu makini jamaa tayari wamemwondoa kwenye list.

Go Slaa, huna mpinzani kabisa
 
tukumbushane leo watz wote wenye mapenzi meme na qasio na mapenzi mema,kumwangalia slaa itv saa moja usiku
 
UKWELI UNABAKI PALEPALE NI WAZI MDAHALO NI KAMA INTERVIEW KWA ANAYEHITAJI KUAJIRIWA. kama jk anatafuta ajira kutoka kwetu ni dhahiri tunahitaji kumfanyia interview ambayo ndio mdahalo wenyewe na hili si jambo la kumuomba NI LAZIMA, sidhani kama mtu aombaye ajira asipofika kwenye interview atapewa kazi kwa huruma,hii bado haijawahiwi tokea, lakini sie watanzania tunalazimishwa fanya hivyo na viongozi wabinafsi kwa kutumia uelewa wetu mdogo wa kudai kilicho HAKI.

NI VEMA TENA VEMA ZAIDI KWA MAMLAKA ZINAZOHUSIKA KUFANYA JAMBO HILI KUWA LA LAZIMA..

Ninakupongeza ANANILEA NKYA kwa uzalendo ulituonyesha,simamia mapigano ya haki na Mwenyezi Mungu atukupatia Thawabu zako
 
Ni wangapi ndani ya serikali ya kikwete wameingizwa kwenye ajira bila interviews?kama rais anaogopa mdahalo au interviiew,je waliochini yake itakuwaje?
 
tukapige kura jamani, tuwe majasiri, tuache woga hii nchi ni yetu. amani na ushikamano daima. peoples power!!!
 
Nasema Taifa lipo kwenye Kona ya mabadiliko, tunahitaji kwenda kupiga kura kufanya mambo yawe hasa na hakika.
 
UKWELI UNABAKI PALEPALE NI WAZI MDAHALO NI KAMA INTERVIEW KWA ANAYEHITAJI KUAJIRIWA. kama jk anatafuta ajira kutoka kwetu ni dhahiri tunahitaji kumfanyia interview ambayo ndio mdahalo wenyewe na hili si jambo la kumuomba NI LAZIMA, sidhani kama mtu aombaye ajira asipofika kwenye interview atapewa kazi kwa huruma,hii bado haijawahiwi tokea, lakini sie watanzania tunalazimishwa fanya hivyo na viongozi wabinafsi kwa kutumia uelewa wetu mdogo wa kudai kilicho HAKI.

NI VEMA TENA VEMA ZAIDI KWA MAMLAKA ZINAZOHUSIKA KUFANYA JAMBO HILI KUWA LA LAZIMA..

Ninakupongeza ANANILEA NKYA kwa uzalendo ulituonyesha,simamia mapigano ya haki na Mwenyezi Mungu atukupatia Thawabu zako
JK hahitaji kuomba ajira kwenu kwani yeye ndiyo mwajiri mkuu kumbuka maneno aliyoyatoa siku alipoongea na wazee wa dar....
 
Back
Top Bottom