B Bukyanagandi JF-Expert Member Joined Jun 24, 2009 Posts 11,626 Reaction score 18,223 Feb 2, 2016 #21 mzee74 said: Anazungumza kwa jazba au ndo kawaida yake? Click to expand... Ni kawaida yake, sio kwamba anafanya maksudi - jamaa huyu anajua mambo mengi ambayo yanaweza kulisaidia Taifa letu, wahusika wakimsikiza bila ya kumpuuzia tutafaidika kwa mengi - najua watajitokeza baadhi ya watu ambao watahanza kumponda ponda!!
mzee74 said: Anazungumza kwa jazba au ndo kawaida yake? Click to expand... Ni kawaida yake, sio kwamba anafanya maksudi - jamaa huyu anajua mambo mengi ambayo yanaweza kulisaidia Taifa letu, wahusika wakimsikiza bila ya kumpuuzia tutafaidika kwa mengi - najua watajitokeza baadhi ya watu ambao watahanza kumponda ponda!!
K kamagetac JF-Expert Member Joined Jul 25, 2014 Posts 2,479 Reaction score 644 Feb 2, 2016 #22 Muwe mnaandika kwa ukamilifu,sio wote wana runinga au kusikiliza unachokiwasilisha kwa wakati.