Angalie Smart 4G LTE ilivo Slow utafikiri 3G

Angalie Smart 4G LTE ilivo Slow utafikiri 3G

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,388
Hawa jamaa hamna kitu kabisa ndo maana vifurushi vyao wanauza bei sawa na Bure eti 1GB unapata kwa 3,500/=

Sijapendezwa na speed yao kabisa yaani transfer rate ni 900KB/sec

Sijui maeneo yote Speed yao itakua kimeo hivi au ni kwa hapa Upanga Magharibi ninapofanyia testing?

Z10YCq.png


dvIMMc.png


Duuh hapa hamna kitu kabisa wanapigwa gap mpaka na 3G providers

UPDATE

Speed test ilofanywa Tarehe 19/08/2015 na afrolife inaonesha mabadiliko ya speed na improvement katika speed

Mkuu hiyo hapo, nimetumia simu ... Huawei Ascend Mate 7.

Kama hutojali, tusaidie za tigo na smile ili tu-balance huu uzi. uki-update hapo juu itakuwa poa zaidi.

5LAENr.jpg


View attachment 277745

test link: Speedtest.net by Ookla - My Results
 
Last edited by a moderator:
ila signal ndogo hio njunwa, mfano tigo inaathirika sana speed signal ikiwa ndogo pengine ukipata sehemu ukatulia signal bar ikajaa speed itaongezeka sana
 
njuwa wana modem zao na line za 4g au vp? hii kampuni ni waganga njaa tu
 
ila signal ndogo hio njunwa, mfano tigo inaathirika sana speed signal ikiwa ndogo pengine ukipata sehemu ukatulia signal bar ikajaa speed itaongezeka sana

Nafikiri hiyo ndo inaweza kuwa effect ngoja weekend nisogee ofisini kwao hapo Mikocheni nione kama kuna changes
Maana hapa napo Jibu Bars zimepotea kabisa
Lakini je hizo bei si ndo wanatushawishi tununue 4G devices na 4G bundles wakati speed inazidiwa na Zantel 3G kabisa
Hivo thamani ya 1GB yao wanauza 3,500/- wakati Zantel 3G same speed 1GB unapata kwa 1,000/= 🙂

GDU4vH.png
 
njuwa wana modem zao na line za 4g au vp? hii kampuni ni waganga njaa tu

Mm kuna mdau wangu huko Uchina kanitumia Modem ya 4G Band 40 ambayo inaendana na hawa Smart
Baada ya kuipokea leo nikasajili line zile za mtaani(sio special sim card) kisha nkawapigia wakai enable ikaweza detect hiyo Network ya 4G LTE
Kwanza ilitumwa hiyo sms ya kui enable ndo minara ikasoma

Website inaonesha wanauza MiFi router i.e Huawei E5377 MiFi Router

http://tz.smarteastafrica.com/product/smart-devices/

68H4ra.png
 
Mfano hapa BARS Zimejaa ila speed kimeo bado kwa rate ya 4G
f8Vld1.png
 
ila watawapata watu, sababu kwetu vitu kama iptv, video za full hd, conference za makampuni za internet nk havijawa common sana. internet ni kwa ajili ya mitandao ya kijamii tu hivyo speed hio mtu akiingia nayo facebook hawezi gundua kama ni kimeo.

ila hio latency yake nzuri.
 
Arusha mbona naitumia ipo fresh spidi ya ukweli
 
Arusha mbona naitumia ipo fresh spidi ya ukweli

Hapa tunaongelea 4G sasa wewe unaposema Arusha speed ya Smart iko fresh sijui unamaanishann wakati Smart 4G ipo maeneo baadhi ya Dar

Kumbuka ni Smart sio Smile
 
Hapa tunaongelea 4G sasa wewe unaposema Arusha speed ya Smart iko fresh sijui unamaanishann wakati Smart 4G ipo maeneo baadhi ya Dar

Kumbuka ni Smart sio Smile

Njunwa Kweli hata mimi natumia LTE 4G Arusha ipo tena coverage kwa hapa town nzuri.
 
Njunwa Kweli hata mimi natumia LTE 4G Arusha ipo tena coverage kwa hapa town nzuri.
Nfikiri na wewe bado hauelewi, unatumia 4G LTE Arusha na mtandao gani???

Mm hapa naongelea "Smart/BOL 4G LTE" ndo iko slow siongelei 4G LTE as a general thing bali specific provider
 
Mkuu kampuni ya Smart ni wezi wezi tu...

Sioni ajabu kama throughput yao ya 4G ipo hivyo uelezeavyo...
 
Back
Top Bottom