Angalia vizuri labda kuna baba au mama yako hapa

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
Itaskia ooh watoto wa siku hizi...
 

Attachments

  • 1425105490404.jpg
    1425105490404.jpg
    35.6 KB · Views: 2,064
kweli zamani amani ya mashariki ya kati ilizingatiwa.Huyo dada mwenye kifua wazi kwa kizazi hiki mbele ya hao jamaa angeijutia siku yake
 
Wakati huo ilikuwa hata kusimamisha si rahisi .. Siku hzi ukionyesha hata jino as long as linakaa ndani likatoka nje mtu anatamani
 
Ha ha na hawa ndo masharo wa enzi hizo
 

Attachments

  • 1425111183674.jpg
    1425111183674.jpg
    27.7 KB · Views: 476
kweli zamani amani ya mashariki ya kati ilizingatiwa.Huyo dada mwenye kifua wazi kwa kizazi hiki mbele ya hao jamaa angeijutia siku yake

Kipindi hicho heshima ilitawala sana! Sio kama leo mambo ya sirini ni kweupeeeeee!
 
Hapo sijui coco beach,na wakichelewa kidogo tu watapishana na uda,sijui wataeleza nini kwao
 
Kitu cha saasita watu hawana habariiii Duuuu...!!! Kweli Nyakati zimekwisha ...leo hii katotocha 2yrs kakikojoa tuuu... Hari mbaya
 
Back
Top Bottom