Angalia vituko vya Polisi ITV


wewe mtoa mada,umeamka na viroba nini kichwani?topic yako imekaa kigaysh sana.
 

Na nihii inadhihirisha hao polisi wa barabarani wana akili kukuzidi wewe. Hii hutokea mara chache sana
 
Someni muelewe kabla ya kulalama


M sikatai zoezi ZüRi

Ombi langu isiwe dec peKee aiwezekani

Wanapimwa dec..january tunaendelea kuzika..zoezi zurikabisa hata Dar Liwepo na isiwe na madereva wa basi Tu

Ila liwe zoezi muendelezo.......naombamnisamehe mliochukua Massaa kulalamika najua ni mis Communication Tu
Otherwise be Happy
 

didy leo umeandika poa sana!
 
Hmmm hnnmmk Chloe mkjfdhb moderns j mmmod
 
waacheni polisi wafanye kazi zao kwan kila kitu kina msimu wake hata hivyo wengi jaman ni viraza sana tena sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…