Angalia unafiki wa Profesa Lipumba

Angalia unafiki wa Profesa Lipumba

ndiyomkuusana

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
668
Reaction score
426


Hapa ilikuwa meza kuu, yuko Freeman Mbowe (CHADEMA), Edward Lowassa (CHADEMA) na Prof. Lipumba (CUF)

Ulimwengu wa Siasa Tanzania August 06 2015 umepokea headlines nyingine zenye uzito ambapo aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa Chama hicho.

Sentensi nyingine amesema hivi >>> &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];Taarifa ya kung'atuka niliitoa August 01 2015, nilisubiri kukamilisha masuala ya UKAWA ndio nitoke&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Ninaendelea kuwa Mwanachama wa CUF na nimelipia Kadi ya Uanachama mpaka 2020, sina mpango wa Kujiunga ACT&[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];-Prof. Lipumba.
Hapa nina pichaz nyingine Kumbukumbu ya July 28 2015 siku Edward Lowassaalivyokaribishwa rasmi CHADEMA na UKAWA.

Lowassa na Mama Regina Lowassa wanakumbatiana, pembeni yao niProf. Lipumba.


Edward Lowassa na Prof. Lipumba walikuwa wamekaa karibu kwenye meza kuu muda wote.


Edward Lowassa na Prof. Lipumba kuna wakati walikumbatiana.
 
kukumbatiana sio sababu, ujue Lipumba anaupeo mkubwa sana.,sana huyu jamaa kweli ni profesa,hata mbowe amejua kwamba Lipumba sungura.Ule ni mkenge ,UKAWA si chama cha siasa.Lowasa raisi kutoka chadema.kusapoti ukawa isha geukani kusapoti Chadema, Chadema kinakua watu wanajiunga CUF nguvu inapungua.Raisi anapanga Baraza la mawaziri, Chadema ndo wanarusiwa,cio ukawa, chadema wakigoma kuwashirikisha Cuf kuwapa nyazifa hawwezi kushitaki popote.Muungano wao hautambuliki kisheria kutoka kwa msajili wa vyama.Balaa hayo mambo ya kisomi Lipumba sungura.
 
kukumbatiana sio sababu, ujue Lipumba anaupeo mkubwa sana.,sana huyu jamaa kweli ni profesa,hata mbowe amejua kwamba Lipumba sungura.Ule ni mkenge ,UKAWA si chama cha siasa.Lowasa raisi kutoka chadema.kusapoti ukawa isha geukani kusapoti Chadema, Chadema kinakua watu wanajiunga CUF nguvu inapungua.Raisi anapanga Baraza la mawaziri, Chadema ndo wanarusiwa,cio ukawa, chadema wakigoma kuwashirikisha Cuf kuwapa nyazifa hawwezi kushitaki popote.Muungano wao hautambuliki kisheria kutoka kwa msajili wa vyama.Balaa hayo mambo ya kisomi Lipumba sungura.

Lipumba anatumika na maccm , 2010 alimsaidia kikwete kumuongezea kura usimtetee
 
'Ni kweli nilishiriki kumkaribisha Lowassa UKAWA lakini dhamira na nafsi yangu inanisuta… Tumekaribisha watu wa CCM ambao waliipinga Rasimu ya Katiba, najiuliza tutaweza kusimamia malengo ya UKAWA'
Mtoa mada unatoka Povu la nini wakati senetensi ya juu umei quote mwenyewe iko clear kabisa,ulitaka aongee nini zaidi ya hiko.
 
Lipumba mnafki kulikua hakuna haja ya kupretend siku zote toka Lowassa kaingia UKAWA yani alivyopata tu tetesi kua Lowassa angekuja UKAWA angejiuzulu wala asingesubiri sijui kumkaribisha
 
kukumbatiana sio sababu, ujue Lipumba anaupeo mkubwa sana.,sana huyu jamaa kweli ni profesa,hata mbowe amejua kwamba Lipumba sungura.Ule ni mkenge ,UKAWA si chama cha siasa.Lowasa raisi kutoka chadema.kusapoti ukawa isha geukani kusapoti Chadema, Chadema kinakua watu wanajiunga CUF nguvu inapungua.Raisi anapanga Baraza la mawaziri, Chadema ndo wanarusiwa,cio ukawa, chadema wakigoma kuwashirikisha Cuf kuwapa nyazifa hawwezi kushitaki popote.Muungano wao hautambuliki kisheria kutoka kwa msajili wa vyama.Balaa hayo mambo ya kisomi Lipumba sungura.
Mkuu ungejua jinsi sheria zinavyo weka ugumu wa vyama kuungana, ungetoa heko kwa hatua waliyo fikia.
 



Tazama boy language ya hiyo picha, inaonesha wazi kabisa Lowasa analazimisha kumkumbatia Professor Lipumba na Lipumba dhamira inamsuta, anamsukuma mikono Lowasa bila kujijuwa na hata sura ya Lipumba kwenye hiyo picha inaonesha yupo mbali kabisa na hayupo hapo, hata hiyo "smiling" ni wazi kabisa kuwa ni "plastic". Linganisha na hii...

11825845_1479232079065071_2826414531389383064_n.jpg
 
Hapa ilikuwa meza kuu, yuko Freeman Mbowe (CHADEMA), Edward Lowassa (CHADEMA) na Prof. Lipumba (CUF)
Ulimwengu wa Siasa Tanzania August 06 2015 umepokea headlines nyingine zenye uzito ambapo aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa Chama hicho.Kwenye kile alichokisema wakati anatangaza kujiuzulu, yako na maneno mengine haya hapa >>> 'Ni kweli nilishiriki kumkaribisha Lowassa UKAWA lakini dhamira na nafsi yangu inanisuta… Tumekaribisha watu wa CCM ambao waliipinga Rasimu ya Katiba, najiuliza tutaweza kusimamia malengo ya UKAWA' >>>> Prof. Lipumba. Sentensi nyingine amesema hivi >>> 'Taarifa ya kung'atuka niliitoa August 01 2015, nilisubiri kukamilisha masuala ya UKAWA ndio nitoke… Ninaendelea kuwa Mwanachama wa CUF na nimelipia Kadi ya Uanachama mpaka 2020, sina mpango wa Kujiunga ACT'-Prof. Lipumba.Hapa nina pichaz nyingine Kumbukumbu ya July 28 2015 siku Edward Lowassaalivyokaribishwa rasmi CHADEMA na UKAWA.
Lowassa na Mama Regina Lowassa wanakumbatiana, pembeni yao niProf. Lipumba.

Edward Lowassa na Prof. Lipumba walikuwa wamekaa karibu kwenye meza kuu muda wote.

Edward Lowassa na Prof. Lipumba kuna wakati walikumbatiana.
"A US military attack against Syria was unexpectedly put on hold on Saturday, after the U-Turn from president Barack Obama,he earlier backed the use of force after what he called "the worst chemical weapons attack of 21st century of Syria's government to its people",
Mkuu,
Mwaka jana Barack Obama alisitisha maamuzi ya kwenda vitani kuishambulia Syria japo alishakubaliana na ushahidi ulioletwa mbele yake na ana mamlaka ya kikatiba ya kuruhusu mashambulizi,lakini after a deep self analysis of the situation he had to do what he believed was right bila kujali wengine wanaoamini tofauti na yeye watasemaje na hiyo ndio sifa ya Kiongozi,kuna point inafika unakuwa tayari kufanya maamuzi ya pekeyako as long as unaamini uko right.
Kwa hiyo usimlaumu sana Llipumba na kutoka povu bila sababu,situation iliyomkuta ni kama iliyomkuta Obama kama nilivoeleza na ni vitu vya kawaida kwa viongozi popote pale duniani.
Swala sio kumkaribisha Lowassa bali ni nini kilifuata baada ya hapo? yeye alikaa na kuona kama kiongozi mwenye dhamana hatakuwa akiwatendea haki watanzania na Tanzania kwa ujumla kama ataendelea na kumkubali huyu bwana,sasa nani anakubaliana naye na nani hakubalianani naye na kwa principles zipi huo ni mjadala unaoachwa mikononi mwa watanzania wote.
 
Unafanya mchezo na escrow mahela wewe....zimetumika na jamaa kanywea kasema liwalo na liwe lakini kigunia cha noti sikiwavhi
 
Unafanya mchezo na escrow mahela wewe....zimetumika na jamaa kanywea kasema liwalo na liwe lakini kigunia cha noti sikiwavhi
nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa huyo jamaa kashikishwa mahela.
 
Abunuwas bhana teh teh teh teh,bc sawaa ila acha matusi kwa dada wa watu
 
Binafsi ni ngumu kuamini kama prof kavuta gawio kutoka kwa wanahisa wa chama chetu cha jembe na nyundo ila tufikirieje sasa, kama tabgu mwanzo alikuwako mpk dakika za mwisho Edo anaingia halafu leo anakuja na hadithi za nafai inanisuta, tumueleweje.........na inasemekana moja ya makubaliano yao na LOWASA ni kuwa iwapo atakamata Nchi basi ule mchakato wa katiba unaanza upya kwa kuzingatia rasimu ya jaji.......sasa mwenzetu huyu ninj kimemkuta kama sio mgao?
 
UKAWA wangemsimamisha Lipumba kugombea nafasi ya urais kumbe angefika mahali akasema pia dhamira imemkataza akjiuzuru na hivyo kuwapa CCM ushindi. Nafuu hakupendekezwa kugombea urais kwa tiketi ya Ukawa. Huyu ni mnafiki namba moja Tanzania!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom