Angalia Muundo wa ACT, Huu sio Udikteta Huu?

Angalia Muundo wa ACT, Huu sio Udikteta Huu?

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
40,017
Reaction score
51,144
Kwa pamoja tuangalie muundo wa chama cha ACT-wazalendo kwa kutegemea katiba ya Chama;

Tuanze na Ibara ya 29 ya Katiba, Ibara ndogo ya 1 na 2, hizi ndizo Ibara zilizotoa mchanganuo wa uongozi wa Chama Cha ACT - Wazalendo kitaifa , Nanukuu;

29. ACT-Taifa

(1) ACT-Taifa ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na litaundwa kwa kuzingatia masharti ya Kanuni za Chama zilizotungwa na Halmashauri Kuu yaTaifa.

(2) Viongozi Wakuu wa Chama Taifa watakuwa ni:

i) Kiongozi wa Chama;

ii) Mwenyekiti wa ACT-Taifa;

iii) Makamu Mwenyekiti wa ACT-Taifa upande wa Zanzibar;

iv) Makamu mwenyekiti ACT-Taifa upande wa Bara;

v) Katibu Mkuu wa ACT-Taifa;

vi) Naibu Katibu Mkuu ACT-Taifa upande wa Zanzibar;

na vii) Naibu Katibu Mkuu ACT-Taifa upande wa Bara.

Kwa mchanganuo huo hapo juu, utaona kuwa kiongozi wa Chama ndiye kiongozi Mkuu wa Chama, nikiwa na maana kwamba Mwenyekiti wa Chama kama wengi tunavyofahamu hana mamlaka yoyote juu ya kiongozi wa Chama.

Sasa tuyaangalie majukumu ya kiongozi wa chama; Ibara ya 29 Ibara ndogo ya (25)

(25) Kazi na sifa za Kiongozi wa Chama

i) Atakuwa kiongozi wa Chama na Mwenyekiti wa kikao cha Mkutano Mkuu wa kidemokrasia

ii) Atakuwa mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote na maafi sa wa chama; ACT Wazalendo Katiba.

iii) Kuteua wajumbe watano wa Kamati Kuu baada ya kushauriana na Mwenyekiti wa Chama Taifa na uteuzi kuthibitishwa na Kamati Kuu kwa mujibu wa Katiba hii;
iv) Kuteua wasemaji wa kisekta ambao pia watakuwa ni wenyeviti wa Kamati za Makao Makuu;

v) Kuteua Naibu Kiongozi wa Chama kwa kushauriana na Kamati ya Uongozi atakapoona haja hiyo;

vi) Kiongozi wa Chama anaweza kuteua mwanachama mwingine mwenye mchango maalumu kuingia katika vikao vya chama kwa kushauriana na Mwenyekiti na Katibu Mkuu kama ataona kuna haja ya kufanya hivyo kwa maslahi ya chama;

vii) Kupendekeza majina ya washauri wa chama baada ya kushauriana na Mwenyikiti;

viii) Atakuwa ndiye mtoa tamko rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa Chama katika mambo ya kitaifa na kimataifa;

ix) Atakuwa mtoa habari mahususi kwenye Mkutano Mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu kuhusu hali ya kisiasa nchini na masuala mengine ya kitaifa na kimataifa;


x) Ataendesha vikao vya Kamati za Kisekta ili kutengeneza misimamo ya kisera ya chama na kuwasilisha mapendekezo ya kisera katika vikao vya chama kwa maamuzi Nakadhalika.


kwa afya ya mjadala ni vyema tukaangalia sasa majukumu ya Mwenyekiti wa Chama

Ibara ya 29 ibara ndogo ya 28 ya Katiba ya ACT, 2015;

(28) Kazi za Mwenyekiti wa Chama Taifa:

i) Atakuwa mlinzi mkuu wa sera zilizopendekezwa na kupitishwa au jambo lolote litakaloamuliwa na kupitishwa na vikao vya chama;

ii) Atahakikisha kuwa ngazi zote za chama zinatekeleza maamuzi yaliyotolewa navikao;

iii) Atahakikisha kuwa ngazi zote zinafanya kazi ndani ya mipaka ya katiba, kanuni, sera na maamuzi yoyote yaliyoagizwa na vikao vikuu vya chama;

iv) Atafuatilia na kuratibu masuala ya ulinzi na usalama katika Chama Taifa;

v) Atakuwa mwenyekiti wa mikutano yote ya chama ya kitaifa isipokuwa vikao vya utendaji na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia wa Wanachama;

vi) Atafanya shughuli nyingine za Chama kama atakavyoelekezwa na vikao vya Chama

vii) Atapendekeza kwa Kamati Kuu majina ya watu wanaofaa kuteuliwa kuwa Manaibu Katibu wakuu kwa kushauriana na Kamati ya Uongozi ya Kitaifa Nakadhalika


Ukisoma katiba hii ya ACT, Utagundua yafuatayo;

1. Mwenyekiti wa chama hana mamlaka kumzidi kiongozi wa chama.

2. Mwenyekiti wa chama anafanyakazi kwa kufuata maelekezo ya vikao vya chama, hivyo hana maamuzi.

3. Mwenye mamlaka yote ya Chama ni kiongozi wa chama.

Kitendo cha Kiongozi wa chama kujilimbikizia mamlaka yote hayo ni cha kibinafsi na kinatakiwa kuogopwa na wapenda demokrasia wote hapa nchini,

Kwa muktada huo, kuna kila dalili za udikteta kwenye chama cha ACT wazalendo na umehalalishwa kabisa kisheria.
 
Kwa pamoja tuangalie muundo wa chama cha ACT-wazalendo kwa kutegemea katiba ya Chama;

Tuanze na Ibara ya 29 ya Katiba, Ibara ndogo ya 1 na 2, hizi ndizo Ibara zilizotoa mchanganuo wa uongozi wa Chama Cha ACT - Wazalendo kitaifa , Nanukuu;

29. ACT-Taifa

(1) ACT-Taifa ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na litaundwa kwa kuzingatia masharti ya Kanuni za Chama zilizotungwa na Halmashauri Kuu yaTaifa.

(2) Viongozi Wakuu wa Chama Taifa watakuwa ni:

i) Kiongozi wa Chama;

ii) Mwenyekiti wa ACT-Taifa;

iii) Makamu Mwenyekiti wa ACT-Taifa upande wa Zanzibar;

iv) Makamu mwenyekiti ACT-Taifa upande wa Bara;

v) Katibu Mkuu wa ACT-Taifa;

vi) Naibu Katibu Mkuu ACT-Taifa upande wa Zanzibar;

na vii) Naibu Katibu Mkuu ACT-Taifa upande wa Bara.

Kwa mchanganuo huo hapo juu, utaona kuwa kiongozi wa Chama ndiye kiongozi Mkuu wa Chama, nikiwa na maana kwamba Mwenyekiti wa Chama kama wengi tunavyofahamu hana mamlaka yoyote juu ya kiongozi wa Chama.

Sasa tuyaangalie majukumu ya kiongozi wa chama; Ibara ya 29 Ibara ndogo ya (25)

(25) Kazi na sifa za Kiongozi wa Chama

i) Atakuwa kiongozi wa Chama na Mwenyekiti wa kikao cha Mkutano Mkuu wa kidemokrasia

ii) Atakuwa mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote na maafi sa wa chama; ACT Wazalendo Katiba.

iii) Kuteua wajumbe watano wa Kamati Kuu baada ya kushauriana na Mwenyekiti wa Chama Taifa na uteuzi kuthibitishwa na Kamati Kuu kwa mujibu wa Katiba hii;
iv) Kuteua wasemaji wa kisekta ambao pia watakuwa ni wenyeviti wa Kamati za Makao Makuu;

v) Kuteua Naibu Kiongozi wa Chama kwa kushauriana na Kamati ya Uongozi atakapoona haja hiyo;

vi) Kiongozi wa Chama anaweza kuteua mwanachama mwingine mwenye mchango maalumu kuingia katika vikao vya chama kwa kushauriana na Mwenyekiti na Katibu Mkuu kama ataona kuna haja ya kufanya hivyo kwa maslahi ya chama;

vii) Kupendekeza majina ya washauri wa chama baada ya kushauriana na Mwenyikiti;

viii) Atakuwa ndiye mtoa tamko rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa Chama katika mambo ya kitaifa na kimataifa;

ix) Atakuwa mtoa habari mahususi kwenye Mkutano Mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu kuhusu hali ya kisiasa nchini na masuala mengine ya kitaifa na kimataifa;


x) Ataendesha vikao vya Kamati za Kisekta ili kutengeneza misimamo ya kisera ya chama na kuwasilisha mapendekezo ya kisera katika vikao vya chama kwa maamuzi Nakadhalika.


kwa afya ya mjadala ni vyema tukaangalia sasa majukumu ya Mwenyekiti wa Chama

Ibara ya 29 ibara ndogo ya 28 ya Katiba ya ACT, 2015;

(28) Kazi za Mwenyekiti wa Chama Taifa:

i) Atakuwa mlinzi mkuu wa sera zilizopendekezwa na kupitishwa au jambo lolote litakaloamuliwa na kupitishwa na vikao vya chama;

ii) Atahakikisha kuwa ngazi zote za chama zinatekeleza maamuzi yaliyotolewa navikao;

iii) Atahakikisha kuwa ngazi zote zinafanya kazi ndani ya mipaka ya katiba, kanuni, sera na maamuzi yoyote yaliyoagizwa na vikao vikuu vya chama;

iv) Atafuatilia na kuratibu masuala ya ulinzi na usalama katika Chama Taifa;

v) Atakuwa mwenyekiti wa mikutano yote ya chama ya kitaifa isipokuwa vikao vya utendaji na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia wa Wanachama;

vi) Atafanya shughuli nyingine za Chama kama atakavyoelekezwa na vikao vya Chama

vii) Atapendekeza kwa Kamati Kuu majina ya watu wanaofaa kuteuliwa kuwa Manaibu Katibu wakuu kwa kushauriana na Kamati ya Uongozi ya Kitaifa Nakadhalika


Ukisoma katiba hii ya ACT, Utagundua yafuatayo;

1. Mwenyekiti wa chama hana mamlaka kumzidi kiongozi wa chama.

2. Mwenyekiti wa chama anafanyakazi kwa kufuata maelekezo ya vikao vya chama, hivyo hana maamuzi.

3. Mwenye mamlaka yote ya Chama ni kiongozi wa chama.

Kitendo cha Kiongozi wa chama kujilimbikizia mamlaka yote hayo ni cha kibinafsi na kinatakiwa kuogopwa na wapenda demokrasia wote hapa nchini,

Kwa muktada huo, kuna kila dalili za udikteta kwenye chama cha ACT wazalendo na umehalalishwa kabisa kisheria.
Siku zote...
1. Ukiona mtu anahangaika kutafuta makosa ya wengine ili makosa yake yaoneka SIYO makosa, UJUWE KWELI AMEKOSEA

2. Ukiona mtu anatafuta makosa ya wengine kwa sababu yake yametajwa, UJUWE HANA MPANGO WA KUBADILIKA

3. Ukiona mtu anahangaika kutafuta makosa ya wengine, UJUWE MAKOSA ALIYOAMBIWA KWAMBA ANAYAFANYA, BASI ANAYAFANYA KWELI

Mwenye tabia hizi, awe mtu binafsi, kikundi cha watu, chama, kampuni, shule etc.. ACHUKUWE HATUA ZA KUJIREKEBISHA HARAKA
 
Hiyo ndiyo katiba yao waliyojiwekea. Kama wenyewe wamekubaliana na hiyo katiba sioni tatizo hapo.

Hiyo katiba yao inafanana na ya nchi ya Iran ambapo Ayatollah ana mamlaka kumzidi raisi wa nchi.
 
Ilani ya ccm imeelezea kuhusu wanafunzi watakaobeba mimba,lkn mtu mmoja kafuta maamuzi ya chama na hakuna wa kumuhoji ndani ya chama,hii ni kwakuwa ni yeye ni Chama dola,yaani ni mwenyekiti na muda huohuo ni Rais.

Mfumo wa Kiongozi wa Chama wanao ODM,ANC,LABOUR nk.

Kiongozi wa chama ndio mara nyingi huwa mgombea Urais,akishinda anaendelea kuwa kiongizi wa chama huku shughuli zote za chama zikiendeshwa na Mwenyekiti.

ACT-wapo vizuri sana ,sema Mleta mada kaumizwa na zile Dalili za Dikteta ambazi kimsingi Zitto kazisoma kwenye vitabu na majarida mbalimbali na kuamua ku share na watanzania.

Usimchukie mtu kwa kuandika usilolipenda.
 
Siku zote...
1. Ukiona mtu anahangaika kutafuta makosa ya wengine ili makosa yake yaoneka SIYO makosa, UJUWE KWELI AMEKOSEA

2. Ukiona mtu anatafuta makosa ya wengine kwa sababu yake yametajwa, UJUWE HANA MPANGO WA KUBADILIKA

3. Ukiona mtu anahangaika kutafuta makosa ya wengine, UJUWE MAKOSA ALIYOAMBIWA KWAMBA ANAYAFANYA, BASI ANAYAFANYA KWELI

Mwen ye tabia hizi, awe mtu binafsi, kikundi cha watu, chama, kampuni, shule etc.. ACHUKUWE HATUA ZA KUJIREKEBISHA HARAKA
hoja yako haiondoi uhalisia kuwa katiba ya act ni ya kidikteta.
 
Kwa hiyo kila chama lazima mwenyekiti awe kubwa? mawazo ya kipumbavu kabisa
ajabu ni kuwa anayewaita wenzake madikteta katiba yake imempa mamlaka ya juu kabisa kuliko yeyote kwenye chama chake. na yeye akaamua kuiunda akitambua hilo.
 
Ha
Kwa pamoja tuangalie muundo wa chama cha ACT-wazalendo kwa kutegemea katiba ya Chama;

Tuanze na Ibara ya 29 ya Katiba, Ibara ndogo ya 1 na 2, hizi ndizo Ibara zilizotoa mchanganuo wa uongozi wa Chama Cha ACT - Wazalendo kitaifa , Nanukuu;

29. ACT-Taifa

(1) ACT-Taifa ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na litaundwa kwa kuzingatia masharti ya Kanuni za Chama zilizotungwa na Halmashauri Kuu yaTaifa.

(2) Viongozi Wakuu wa Chama Taifa watakuwa ni:

i) Kiongozi wa Chama;

ii) Mwenyekiti wa ACT-Taifa;

iii) Makamu Mwenyekiti wa ACT-Taifa upande wa Zanzibar;

iv) Makamu mwenyekiti ACT-Taifa upande wa Bara;

v) Katibu Mkuu wa ACT-Taifa;

vi) Naibu Katibu Mkuu ACT-Taifa upande wa Zanzibar;

na vii) Naibu Katibu Mkuu ACT-Taifa upande wa Bara.

Kwa mchanganuo huo hapo juu, utaona kuwa kiongozi wa Chama ndiye kiongozi Mkuu wa Chama, nikiwa na maana kwamba Mwenyekiti wa Chama kama wengi tunavyofahamu hana mamlaka yoyote juu ya kiongozi wa Chama.

Sasa tuyaangalie majukumu ya kiongozi wa chama; Ibara ya 29 Ibara ndogo ya (25)

(25) Kazi na sifa za Kiongozi wa Chama

i) Atakuwa kiongozi wa Chama na Mwenyekiti wa kikao cha Mkutano Mkuu wa kidemokrasia

ii) Atakuwa mkuu wa siasa, mshauri na mwelekezaji kwa viongozi wote na maafi sa wa chama; ACT Wazalendo Katiba.

iii) Kuteua wajumbe watano wa Kamati Kuu baada ya kushauriana na Mwenyekiti wa Chama Taifa na uteuzi kuthibitishwa na Kamati Kuu kwa mujibu wa Katiba hii;
iv) Kuteua wasemaji wa kisekta ambao pia watakuwa ni wenyeviti wa Kamati za Makao Makuu;

v) Kuteua Naibu Kiongozi wa Chama kwa kushauriana na Kamati ya Uongozi atakapoona haja hiyo;

vi) Kiongozi wa Chama anaweza kuteua mwanachama mwingine mwenye mchango maalumu kuingia katika vikao vya chama kwa kushauriana na Mwenyekiti na Katibu Mkuu kama ataona kuna haja ya kufanya hivyo kwa maslahi ya chama;

vii) Kupendekeza majina ya washauri wa chama baada ya kushauriana na Mwenyikiti;

viii) Atakuwa ndiye mtoa tamko rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa Chama katika mambo ya kitaifa na kimataifa;

ix) Atakuwa mtoa habari mahususi kwenye Mkutano Mkuu, Halmashauri Kuu na Kamati Kuu kuhusu hali ya kisiasa nchini na masuala mengine ya kitaifa na kimataifa;


x) Ataendesha vikao vya Kamati za Kisekta ili kutengeneza misimamo ya kisera ya chama na kuwasilisha mapendekezo ya kisera katika vikao vya chama kwa maamuzi Nakadhalika.


kwa afya ya mjadala ni vyema tukaangalia sasa majukumu ya Mwenyekiti wa Chama

Ibara ya 29 ibara ndogo ya 28 ya Katiba ya ACT, 2015;

(28) Kazi za Mwenyekiti wa Chama Taifa:

i) Atakuwa mlinzi mkuu wa sera zilizopendekezwa na kupitishwa au jambo lolote litakaloamuliwa na kupitishwa na vikao vya chama;

ii) Atahakikisha kuwa ngazi zote za chama zinatekeleza maamuzi yaliyotolewa navikao;

iii) Atahakikisha kuwa ngazi zote zinafanya kazi ndani ya mipaka ya katiba, kanuni, sera na maamuzi yoyote yaliyoagizwa na vikao vikuu vya chama;

iv) Atafuatilia na kuratibu masuala ya ulinzi na usalama katika Chama Taifa;

v) Atakuwa mwenyekiti wa mikutano yote ya chama ya kitaifa isipokuwa vikao vya utendaji na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia wa Wanachama;

vi) Atafanya shughuli nyingine za Chama kama atakavyoelekezwa na vikao vya Chama

vii) Atapendekeza kwa Kamati Kuu majina ya watu wanaofaa kuteuliwa kuwa Manaibu Katibu wakuu kwa kushauriana na Kamati ya Uongozi ya Kitaifa Nakadhalika


Ukisoma katiba hii ya ACT, Utagundua yafuatayo;

1. Mwenyekiti wa chama hana mamlaka kumzidi kiongozi wa chama.

2. Mwenyekiti wa chama anafanyakazi kwa kufuata maelekezo ya vikao vya chama, hivyo hana maamuzi.

3. Mwenye mamlaka yote ya Chama ni kiongozi wa chama.

Kitendo cha Kiongozi wa chama kujilimbikizia mamlaka yote hayo ni cha kibinafsi na kinatakiwa kuogopwa na wapenda demokrasia wote hapa nchini,

Kwa muktada huo, kuna kila dalili za udikteta kwenye chama cha ACT wazalendo na umehalalishwa kabisa kisheria.
Hahahaha! Wakati chama kinaundwa mlikuwa mnasifia mkidhani wenzenu wanawaonea wivu?
Mbona mnaitana wapumbavu jamani?
 
Supreme Leader of Iran - Dictator Ayatollah Ali Khamenei
2017-636390167073465176-346.jpg



Supreme Leader of ACT - Dictator Ayatollah Zito
(huyu ukipenda unaweza kumwita Abubakar Shekau B)

msalit_.PNG
 
Siyo Italia?
Mi naona kama inafanana na Italia!
Hiyo ndiyo katiba yao waliyojiwekea. Kama wenyewe wamekubaliana na hiyo katiba sioni tatizo hapo.

Hiyo katiba yao inafanana na ya nchi ya Iran ambapo Ayatollah ana mamlaka kumzidi raisi wa nchi.
 
Kwa akili yako finyu hayo umeyaona ni mamlaka ya juu!

tatizo ushamba wa fikra...unafikiri kila mahali mw/kiti ndiyo kiongozi wa juu.

Akili ndogo mbaya!

ajabu ni kuwa anayewaita wenzake madikteta katiba yake imempa mamlaka ya juu kabisa kuliko yeyote kwenye chama chake. na yeye akaamua kuiunda akitambua hilo.
 
Back
Top Bottom