angalia mambo ya NATO Libya, where is AU???

Acheni unafiki wenu..Mbona huonyeshi picha za watoto wanazouawa na askari wa Ghadafi ukauliza were is AU? Unafiki mbaya sana kuwa mkweli acha bias...ungeweka zote ningekuelewa na ukawauliza vizuri AU tangu mwanzo kabla NATO haijaingia Gadafi alikuwa anawauwaje watu wake...Unafiki mkubwa
 
Acheni unafiki wenu..Mbona huonyeshi picha za watoto wanazouawa na askari wa Ghadafi ukauliza were is AU? Unafiki mbaya sana kuwa mkweli acha bias...ungeweka zote ningekuelewa na ukawauliza vizuri AU tangu mwanzo kabla NATO haijaingia Gadafi alikuwa anawauwaje watu wake...Unafiki mkubwa

hizo reds zimemfaa kabisa. kukurupuka sometimes noma hususani ukiwa mwanajamii mkongwe. kitoto chenyewe kimeumia mguu na vikovu kadhaa usoni. hatujashawishika bado.
 
Tumwombe mungu vita viishe maana hata the way Hawa wadau Mbarbaig na Ivuga wanavyojibishana ni vita tosha.....Kwa minajili hii ni bora tukamwomba Mungu amalize vita hiii
 
Tatizo lililopo ni kwa watu wengi kutokujua ushenzi wa Wamarekani na washirika wake.Kisingizio chao ni kwamba Gadaffi amekaa sana katika madaraka.Tatizo siyo Gadaffi ni raslimali ya mafuta iliyopo Libya! 50% ya pato la mafuta linatumika kwa maendeleo ya Libya na wananchi wake.
{Since the old Central Bank of Libya was state owned, it was essentially under the control of Moammar Gadaffi. But now that Libya is going to be "free", the new Central Bank of Libya will be run by "Libyans" just like the war against Gaddafi is being waged by "Libyans". It's a separate issue whether those Libyans have a Libyan nationality or an EU/USZ nationality. Over the past couple of years, Mummar Gaddafi had threatened to nationalize the oil industry in Libya and kick western oil companies out of the country, but now that Libya will be "free" the people of Libya will be able to work hand in hand with "big oil" and this will create a "better Libya for everyone". Of course oil had absolutely nothing to do with why the USZ "invaded and initiated a kinetic humanitarian liberty action" in Libya. When the Globalist Zionist puppet Barack Obama looked straight into the camera and told the American people that the war in Libya is in the "strategic interest" of the United States of Zionism, what was he pointing at? Not to forget that Obama won a Nobel Peace Prize in one of the most violently absurd events of the century}
Fikiria waasi wa ghafla ndani ya Libya walitokea wapi? Leo NATO wanadai wanafyatua makombora ndani ya Libya kuwahami wananchi wa Libya dhidi ya majeshi ya Gadaffi.Kinachoendelea hapa ni madai ya kijinga ya NATO kujitafutia uhalali wa uvamizi kwa Libya.
 
Tatizo lililopo ni kwa watu wengi kutokujua ushenzi wa Wamarekani na washirika wake.Fikiria waasi wa ghafla ndani ya Libya walitokea wapi? Leo NATO wanadai wanafyatua makombora ndani ya Libya kuwahami wananchi wa Libya dhidi ya majeshi ya Gadaffi.Kinachoendelea hapa ni madai ya kijinga ya NATO kujitafutia uhalali wa uvamizi kwa Libya.

Haya ya kuletewa demokrasi yatafika na hapa East Africa.

Unajua kuwa Sudan imekuwa mataifa mawili sasa? Mafuta ya Sudan ya Kusini,

Uganda wamegundua mafuta,,,harakisho la EA federation.Kama vile harakisho la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Tunakumbuka mabomu ya balozi za Us katika TZ na Kenya? Yale yalikuwa ni kuileta AFRICOM karibu yetu na sheria za ugaidi na ushirikiano wa Karibu na US.

Na sasa Tunatafuta mafuta kwa bidii,...siku tutakayosema hizi mali sasa ziwanufaishe wananchi basi Demokrasi itashushwa kwa uchochezi wa ghasia,machafuko halafu demokrasi itateremshwa kwa ndege kama wafanyavyo huko Libya.
 
Tatizo lililopo ni kwa watu wengi kutokujua ushenzi wa Wamarekani na washirika wake.Kisingizio chao ni kwamba Gadaffi amekaa sana katika madaraka.Tatizo siyo Gadaffi ni raslimali ya mafuta iliyopo Libya! 50% ya pato la mafuta linatumika kwa maendeleo ya Libya na wananchi wake.
{Since the old Central Bank of Libya was state owned, it was essentially under the control of Moammar Gadaffi. But now that Libya is going to be "free", the new Central Bank of Libya will be run by "Libyans" just like the war against Gaddafi is being waged by "Libyans". It's a separate issue whether those Libyans have a Libyan nationality or an EU/USZ nationality. Over the past couple of years, Mummar Gaddafi had threatened to nationalize the oil industry in Libya and kick western oil companies out of the country, but now that Libya will be "free" the people of Libya will be able to work hand in hand with "big oil" and this will create a "better Libya for everyone". Of course oil had absolutely nothing to do with why the USZ "invaded and initiated a kinetic humanitarian liberty action" in Libya. When the Globalist Zionist puppet Barack Obama looked straight into the camera and told the American people that the war in Libya is in the "strategic interest" of the United States of Zionism, what was he pointing at? Not to forget that Obama won a Nobel Peace Prize in one of the most violently absurd events of the century}
Fikiria waasi wa ghafla ndani ya Libya walitokea wapi? Leo NATO wanadai wanafyatua makombora ndani ya Libya kuwahami wananchi wa Libya dhidi ya majeshi ya Gadaffi.Kinachoendelea hapa ni madai ya kijinga ya NATO kujitafutia uhalali wa uvamizi kwa Libya.

nadhani tuko frequency tofauti....read the title and comment..where is AU? usijitungie swali
 
Tatizo lililopo ni kwa watu wengi kutokujua ushenzi wa Wamarekani na washirika wake.Kisingizio chao ni kwamba Gadaffi amekaa sana katika madaraka.Tatizo siyo Gadaffi ni raslimali ya mafuta iliyopo Libya! 50% ya pato la mafuta linatumika kwa maendeleo ya Libya na wananchi wake.
{Since the old Central Bank of Libya was state owned, it was essentially under the control of Moammar Gadaffi. But now that Libya is going to be "free", the new Central Bank of Libya will be run by "Libyans" just like the war against Gaddafi is being waged by "Libyans". It's a separate issue whether those Libyans have a Libyan nationality or an EU/USZ nationality. Over the past couple of years, Mummar Gaddafi had threatened to nationalize the oil industry in Libya and kick western oil companies out of the country, but now that Libya will be "free" the people of Libya will be able to work hand in hand with "big oil" and this will create a "better Libya for everyone". Of course oil had absolutely nothing to do with why the USZ "invaded and initiated a kinetic humanitarian liberty action" in Libya. When the Globalist Zionist puppet Barack Obama looked straight into the camera and told the American people that the war in Libya is in the "strategic interest" of the United States of Zionism, what was he pointing at? Not to forget that Obama won a Nobel Peace Prize in one of the most violently absurd events of the century}
Fikiria waasi wa ghafla ndani ya Libya walitokea wapi? Leo NATO wanadai wanafyatua makombora ndani ya Libya kuwahami wananchi wa Libya dhidi ya majeshi ya Gadaffi.Kinachoendelea hapa ni madai ya kijinga ya NATO kujitafutia uhalali wa uvamizi kwa Libya.

Unauchungu na wizi wa mamilioni ya Watanzania? :frusty::frusty::frusty::frusty:
 
mwisho wake umefika
www.vigilantcitizen.com
 
Loo inasikitisha sana,ndio hivyo vita haina macho,hao waasi walifikiri watamtoa Gaddafi kirahisi kama walivyomtoa Mubbarak wa Misri,AU itabidi ilani vikali uvamizi wa NATO kwani wamezidisha ugumu tatizo badala ya kulipunguza tatizo kama walivyodhani
 
Ujuea nchi za Magharibi shida kubwa ni kutaka kuitawala Libya kwa lengo lao mahusui,ambalo ni Mafuta na si vinginevyona pia kuna kale ka udini...zaidi utatafuta sababu mpaka ukome.
 
Yale yale ya madebe makubwa meusi yanayokuja kubeba watu. I dont know about you but I dont buy this crap!
 
Duh, ama kweli vita havina macho, lkn dogo hata machozi hayamtoki akikuwa nikulipiza kisasi mtindo mmoja.
 
Obama kumbe mjinga sasa anatetemeka wamemuambia hakuzaliwa US analialia tu jaluo wa kisumu njoo Ghadaff akupe kazi lofa jaluo ww unaua watu Libya...
 
mbona hawaendi somalia licha ya matatizo yote waliyonayo? kwani democrasia wasomali haiwahusu? au sababu wasomli ni wazalishaji wa mbuzi na walibya wana mafuta?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom