Sasa ukitaja proffessional yako ndio unataka uachwe tu! Ulete vitu vina hang hapa halafu vipite salama kwa sababu wewe umesema? Unajua proffessional ya kila mtu? Hebu tafuta Index zote unazozifaham kuanzia ile ya Transparency, MO, Human Rights etc halafu njoo useme hayo maneno yako. Huko Ghana asilimia ngapi wanapata umeme? Institution quality in terms of governance zikoje? South Africa yenyewe inayosemekana better kuna madudu kibao. Narudia tena na tena kila sehem ina sweeping statements na kwa Africa tunayo na ndio hiyo, Afrika yote ni sawa.