Anga limechafuka

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,147
Reaction score
829,071
Ni kitu cha kushangaza mno lakini kwa sasa anga halifai, watu wanapishana angani ardhini na majini...!ni kutafuta kinga na ulinzi wasitumbuliwe majipu mali zao zisifilisiwe wala wasikamatwe na kushtakiwa
Kama kuna wakati waganga wa kienyeji wanapiga pesa ni sasa viunga vyao vimesheheni wageni
Hali ni mbaya kuliko inavyodhaniwa
 
Yule mganga anayewasaidia watu kuihama Arsenal sasa anawasaidia watu kutotumbuliwa majipu. Hahaha
 
mshana jr uko sahihi kabisaa...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…