Nashindwa kuelewa kwa nn hakwenda ila mke wa Erasto na hiyo familia walileteana figisufigisu nyingi baada ya Erasto kufariki. pmj na hayo haikuleta picha nzr kwake kuacha kutoa hata pole kwa familia.Ya kweli hayo?? Usikute pia watu wanachukulia hiyo weakness point ya familia ya Erasto na Mke wa Erasto kulipiza visasi vyao.. Huyu mke wa erasto for good sake hata kama yeye ndiye muuaji alitakiwa aende msibani.. Kutokwenda tayari ni doa kwake
Nashindwa kuelewa kwa nn hakwenda ila mke wa Erasto na hiyo familia walileteana figisufigisu nyingi baada ya Erasto kufariki. pmj na hayo haikuleta picha nzr kwake kuacha kutoa hata pole kwa familia.
kabisa ila kwa watu wengine wanapaona ndio mahali pa kuonyesha chuki zao kitu ambacho sio kizuri. sasa wale watoto wanajisikiaje shangazi yao amefariki hlf wamenyimwa kwenda.Kwenye misiba uadui wetu huwa tunaweka kando.. Jamii nyingi za Kaskazini tunatumia misiba kupatanisha hata wale waliokosana kwani ndio unakuwa wakati mzuri wa ndugu wote kukutana..
Hiyo ni kweli. mke wa Erasto hakwenda kuhani msiba wala mazishi. cjui kwa nn
------------------------------------------Nina shida ya mwalimu mzuri wakuwafundisha watoto wangu tuition wa darasa la kwanza na la pili nitamlipa vbizuri tu ,niko maeneo ya kibada-kigamboni .kama nitapata wa maeneo haya haya nitafurahi sana awe anakuja anawafundisha anaondoka,nineshanunua vitabu vyote vya level zao.
Nitashukuru kama mtajitokeza
I think she is not the one.. Birthday ya Anathe ilikuwa 3 April na huyu kwenye profile kaandika 17 June..Mh..........
Last seen?
Birthday?
Birthday Nyingi humu sio za ukweli,Last Seen ni lini yake siioni,naona last post tu tar 19 May 2016 na Tukio limetokea tar26 may 2016.Mh..........
Last seen?
Birthday?
Ni muhimu kufuatilia jamani.Birthday Nyingi humu sio za ukweli,Last Seen ni lini yake siioni,naona last post tu tar 19 May 2016 na Tukio limetokea tar26 may 2016.
Yaani pale palipododa namna hiyo ndipo palikua panatoa roho za watu?Green hut
Birthday Nyingi humu sio za ukweli,Last Seen ni lini yake siioni,naona last post tu tar 19 May 2016 na Tukio limetokea tar26 may 2016.
Yaani pale palipododa namna hiyo ndipo palikua panatoa roho za watu?
Natafuta mwalimu wakufundisha watoto wangu tuition-kigamboniNi kweli Mkuu.
Ngoja tuone kama kuna siku atatokea. ..
nadhani ni yeye maskini i wish ningekuwepo humu siku nyingi nimjueBasi sawa. ...
Hapa umemkashifu Mungu sana mkuundio maana wengine walishashtukia hizi theory za Mungu na shetani hazi make sense whatsoever. Watu wanasema Mungu atawalinda wafiwa, Mungu unavyoona amekaa kama anaweza kulinda mtu kweli?
.