Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android


Photoshop nzuri sana
 
tutegemee jina lolote lile inaweza kua Lollipop au vinginevyo
 
jamani tusaidieni wengine hatufahm,nini maana ya android maana tunatarajia kununua smart phone
 
Wakuu

Simu yangu inadownload system update lakini ninapoanza install inaniandikia error? Natumia "Galaxy nexus"

Nataka kuupdate kutoka 4.2.2 kuwa 4.3
 
kumbe GO SMS na MX video player zinauzwa siku hizi.....!? wameniambia hivyo google store
 
Msaada kuhusu tapatalk nimesha Install lakini najaribu kui szarch jamii forums siipati simu yangu nii Nokia lumia
 

mkuu nime Install lakini bila nikiisearch jamiiforums siipat
 
mkuu nime Install lakini bila nikiisearch jamiiforums siipat

Haipo huko siku hizi wameitoa, kwa hiyo ni lazima utumie jf application tu. mimi nilikuwa naitumia zaidi kipindi cha nyuma maana nakuwa connected na furum mbalimbali kupitia application moja lkn kwa sasa inakiwa shida!.
 
Haipo huko siku hizi wameitoa, kwa hiyo ni lazima utumie jf application tu. mimi nilikuwa naitumia zaidi kipindi cha nyuma maana nakuwa connected na furum mbalimbali kupitia application moja lkn kwa sasa inakiwa shida!.

mkuu hyo jf application unaipataje?
 
Ninatumia tecno p3, niliformat memory card saiv cm inagoma kucheza nyimbo (mp3)

Tatizo n nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…