Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Pes 2020 ya android imekuwa confirmed. Mwezi wa 10Pes 2020 ppsspp boom
Pes 2020 ya android imekuwa confirmed. Mwezi wa 10Pes 2020 ppsspp boom
Sio ya playstore manPes 2020 ya android imekuwa confirmed. Mwezi wa 10
Najua Ni pes la psp, pes ya mwisho Ni 2014 kutoka, Hapo Hilo la 2020 Ni la 2014 limeekwa tu majina mapya.Sio ya playstore man
Najua Ni pes la psp, pes ya mwisho Ni 2014 kutoka, Hapo Hilo la 2020 Ni la 2014 limeekwa tu majina mapya.
Ndio maana nikarecomend la 2020 halisi kwenye simu.
Leta ushahidi Wa pes kulizindua Hilo game la psp la mwaka 2020Sio kwel
Leta ushahidi Wa pes kulizindua Hilo game la psp la mwaka 2020
Mkuu huko kubadili majina hata Mimi nikiwa na muda naweza sio kazi, Kama nilivyokwambia Hapo juu Ni game la 2014 wanabadili tu majina na kuweka picha za home screen.We la, 2020, unalo?
Mkuu huko kubadili majina hata Mimi nikiwa na muda naweza sio kazi, Kama nilivyokwambia Hapo juu Ni game la 2014 wanabadili tu majina na kuweka picha za home screen.
Ukitaka kuhakikisha fanya Hivi
-tafuta mchezaji ambae 2014 alikuwa hajulikani mfano Daniel James was man UTD angalia picha yake utaona ipo ovyo
-angalia menu ya hio game ipo Kama ps2, ya kizamani na haifananii na pes yoyote mpya.
-angalia gameplay, entrance ya wachezaji na camera Ni zile zile Kama enzi za ps2.
Chief naomba list ya psp games ulizocheza au unazocheza ambazo ni nzuri kwako...Mkuu huko kubadili majina hata Mimi nikiwa na muda naweza sio kazi, Kama nilivyokwambia Hapo juu Ni game la 2014 wanabadili tu majina na kuweka picha za home screen.
Ukitaka kuhakikisha fanya Hivi
-tafuta mchezaji ambae 2014 alikuwa hajulikani mfano Daniel James was man UTD angalia picha yake utaona ipo ovyo
-angalia menu ya hio game ipo Kama ps2, ya kizamani na haifananii na pes yoyote mpya.
-angalia gameplay, entrance ya wachezaji na camera Ni zile zile Kama enzi za ps2.
Mkuu genre ninazopenda mimi kwako unaweza usizipende. Na kama una psp unaweza cheza pia games za ps1 natively.Chief naomba list ya psp games ulizocheza au unazocheza ambazo ni nzuri kwako...
sema pia utakuwa unatumia high end maana kwangu hizo final fantasy zinakuwa slow sana, yaani tusema kwangu hii simu ya ram 1gb zinazokubali huwa kwangu hazizidi za mb 450...Mkuu genre ninazopenda mimi kwako unaweza usizipende. Na kama una psp unaweza cheza pia games za ps1 natively.
Kwa games za Action ambazo watu wengi wanazipenda angalia God of war series, Gta series na Metal Gear solid series.
Kwa Jrpg angalia final fantasy series, valkyria Chronicle, jeane d arc, tactics ogre etc.
Mpira kuna Fifa na pes na football manager handheld.
Zipo za arcade, racing, na genre nyengine.
Nina psp mkuu, unatumia simu gani?sema pia utakuwa unatumia high end maana kwangu hizo final fantasy zinakuwa slow sana, yaani tusema kwangu hii simu ya ram 1gb zinazokubali huwa kwangu hazizidi za mb 450...