Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,414
Kutumiwa na watu wengi hakumaanishi kuwa ni bora.
umenimisquote, sikumaanisha inatumiwa na watu wengi, nilikuwa namjibu nurbert kwa swali, akidai symbian is the best. kuhusu technical aspects kuhusu ubora soma replies za Stefano Mtangoo, chief-mkwawa, na wengine. mimi sina la kuongeza. mie kama mtumiaji wa kawaida nimetumia device za symbian, ios, windows mobile ila kwa android najisikia huru sana. (huo ni mtazamo wangu kuhusu experience ya vifaa nilivowahi kutumia) hapa natumia android 4.2.2 jelly bean kwenye galaxy s2, hajinifanya niwaze kuhama, yatosha.com
Last edited by a moderator: