ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,013
Soma mwenyewe busara za Andrew Nyerere:dah Mungu anisamehe ila vituko vya huyu mzee ni 100 percent Deo kisandu type
Wewe utakuwa TISS tena anayemlinda na mwezi huu uko zamuKumwelewa huyu Mzee inahitaji uwe na uwezo Mkubwa wa kuinyambulisha Fasihi.., sasa ukichanganya na Kipindi cha Mwezi Mwandamo basi ndo inakuwa tafrani kweli kweli!!!
Kusanya akili za ukoo wako mzima, kamwe hamuwezi hata kufikia nusu tu ya IQ ya Andrew Nyerere.Sasa anataka hao usalama wa taifa ndio wamkwamue kutoka kwenye hiyo extreme poverty yake?
Kwa akili za huyo jamaa usishangae akawa anataka hao jamaa wakamfagilie nyumba na kumuoshea vyombo ndio maana wanaishia kugombana.
Alafu watu wanalipwaje wamlinde Andrew, yeye ni nani? Hivi bado anaishi kwao?
nafikiri bado anaishi pale mikocheni kwa baba yake sasa sijui atawafukuza TISS kivipi wakati wako pale kumlinda mama maria nyerere na ile nyumba kiujumlaAndrew alikuwa na wadhifa gani kweli. ..
Awe mpole tu hamana namnanafikiri bado anaishi pale mikocheni kwa baba yake sasa sijui atawafukuza TISS kivipi wakati wako pale kumlinda mama maria nyerere na ile nyumba kiujumla
SadNdiyo mtoto wa kwanza wa Mwl JK Nyerere