andikisha domain kwa bei nafuu

i411

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
906
290




Banner-for--470x256.jpg

http://www.tayoa.org/
Tayoa inawaletea wanajamii huduma bora na ya bei nafuu ya kuregister domains (matovuti) kwa hela ya madafu sh 25,000/ tuu. Sasa hakuna tena haja ya kusumbuliwa kulipia kwa dola sijui 30 na ukienda na $50 hakuna chenji na kumaliza siku nzima kutafuta chenji. Pia siye tunaweza kumaliza mambo yote ya kulipia kwa njiaraisi kwa kila mwananchi kama tigo pesa. Kwa hela hiyo tunaandikisha domain za .tz,.com,.org,.net na nyinginezo
 

Attachments

  • banner ya domains.jpg
    banner ya domains.jpg
    83.8 KB · Views: 42
Mkuu i411 nini tofauti ya .tz au .org au .net au .info? Je naweza nikaweka extension yangu mfano *.king?
 
Mkuu i411 nini tofauti ya .tz au .org au .net au .info? Je naweza nikaweka extension yangu mfano *.king?
hiyo ya .tz ni domaini ya nchi ya Tanzania halisi kwahiyo inakuambia hii kampuni inawalenga watanzania na hiyo ya .com ni kama ya ulimwengu mzima kwa hiyo campuni inaweza kuwa china na inachakachua kama kawaida mpaka bongo. Na ,org ni kwaajili ya organisation kwahiyo kama unaoganisation basi hiyo ndo ya kuchukua. Ukitaka kuwa na extension yako mwenyewe nazani itabidi uwe zaidi ya Bill Gates, when u get there tutafutane tunaweza kuanzisha kapetition cha hiyo extention.......... hahahahah hii sijui itakuwa ya making .king!
 
Back
Top Bottom