Under my dead body, ni mjomba wako? uliza watu wa Moro? kuchukua bahasha kila mwisho wa mwezi toka kwa wafanyabiashara? majambazi .unajua amevunja ndoa ngapi za askari Na za wanamorogoro? unamjua Marehemu Jambazi Uswaa .aliyemteka Mama Kilango malesera?Ninyi hamumfahamu Andengenye. He is clean. Siyo mla rushwa. Siyo fisadi. Hana maringo. Ni mtu wa watu. He is professional. I know him well. In my opinion he is our future IGP.