Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau zamani nikisikia Mtu ni PROFESA nilikuwa nina Amini ana AKILI sana ndio maana akawa PROFESA.
Nilianza kupoteza Imani yangu kwa hao MAPROFESA baada ya kuibuka kwa Baadhi ya MAPROFESA Wasiojitambua kwa kutoa HOJA DHAIFU
Kuna PROF. wa UDSM na MBUNGE wa UBUNGO anadai CHADEMA Watafanyaje MARIDHIANO na SERIKALI ambayo HAWAITAMBUI?
Namkumbusha tu pamoja na UPROFESSA wake Je MARIDHIANO ya SERIKALI ya MAKABURU na Waafrika(ANC) kule AFRIKA ya KUSINI Je WAAFRIKA walikuwa WANAITAMBUA ile SERIKALI ya MAKABURU?
Je WAAFRIKA Wangegoma kufanya yale MARIDHIANO Je NELSON MANDELA angekuwa RAIS au RAMAPHOSA?
Wanachofanya CHADEMA ndio hicho hicho WALICHOFANYA ANC kwa MAKABURU
Nilianza kupoteza Imani yangu kwa hao MAPROFESA baada ya kuibuka kwa Baadhi ya MAPROFESA Wasiojitambua kwa kutoa HOJA DHAIFU
Kuna PROF. wa UDSM na MBUNGE wa UBUNGO anadai CHADEMA Watafanyaje MARIDHIANO na SERIKALI ambayo HAWAITAMBUI?
Namkumbusha tu pamoja na UPROFESSA wake Je MARIDHIANO ya SERIKALI ya MAKABURU na Waafrika(ANC) kule AFRIKA ya KUSINI Je WAAFRIKA walikuwa WANAITAMBUA ile SERIKALI ya MAKABURU?
Je WAAFRIKA Wangegoma kufanya yale MARIDHIANO Je NELSON MANDELA angekuwa RAIS au RAMAPHOSA?
Wanachofanya CHADEMA ndio hicho hicho WALICHOFANYA ANC kwa MAKABURU