Serikali ya Tanzania yatoa kauli kuhusu vurugu za Afrika Kusini. Wabunge wataka mjadala kuhusu vurugu hizo Bungeni

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,499
9,279
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema mpaka sasa hakuna Mtanzania aliyeuawa katika machafuko yaliyotokea nchini Afrika Kusini.

Profesa Kabudi ameyasema hayo leo Jumatano, Septemba 4, 2019 katika hafla maalum ya kuwaaga vijana 100 wanaokwenda nchini Israel kwa ajili ya mafunzo ya kilimo kwa vitendo.
Amesema Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Damas Ndumbaro amekuwa nchini humo kwa ajili ya kufuatilia mambo kadhaa na mpaka sasa hakuna taarifa ya kifo wala madhara kwa Mtanzania yeyote.

"Serikali ya Tanzania inaunga mkono tamko la Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa linalolaani mauaji ya Waafrika yanayoendelea hivi sasa. Taarifa zilizopo mpaka sasa hakuna Mtanzania aliyepata madhara," amesema Kabudi.

Aidha Kabudi amewataka Watanzania kutolipiza kisasi kwa wageni waishio hapa nchini.

"Tutawalinda, wapo salama wao na mali zao zitakuwa salama. Mahusiano kati ya nchi hizi mbili yataendelea," amesema Kabudi.

Pamoja na hayo, Wabunge wa Tanzania wametaka Bunge liahirishe shughuli zilizopangwa kwa siku ya leo Jumatano Septemba 4, 2019 ili wajadili vurugu zilizojitokeza nchini Afrika Kusini zinazowahusisha Waafrika.
Wabunge hao waliozungumzia suala hilo bungeni ni Elibariki Kingu (Singida Magharibi- CCM), Oscar Mukasa (Biharamuro Magharibi- CCM), John Heche (Tarime Vijijini-Chadema) na Godluck Mlinga (Ulanga Mashariki-CCM).

Aliyeanza alikuwa ni Mlinga wakati wa maswali na majibu ambaye aliwataka Waafrika Kusini kukumbuka kuwa isingekuwa Waafrika kuwa pamoja wangekuwa bado wanaimba mapambio ya makaburu.

Hata hivyo, baada ya maswali na majibu Kingu aliomba mwongozo wa Spika na kusema ametumiwa taarifa na Mtanzania aliyeko Afrika Kusini kuwa maduka yake yamechomwa.
 
Dada wa watu kwani wewe huwa ni muandishi wa habari au sivyo...? Maana....
 
1. Wamempiga Mwandishi wa Habari wa Michezo Bin Zubeiry na Kumuharibia Vifaa vyake vya Kazi.

2. Askari waliokuwepo Uwanjani walimfuata Mtanzania aliyekuwa akilinda Vyumba vya Wachezaji wetu na wakamtishia na Silaha na wakamuondoa kwa nguvu.

3. Wakati Mchezo wa Taifa Stars ( Tanzania ) na Intamba Murugamba ( Burundi ) ukiendelea ' Makomandoo ' wa Burundi waliingia katika Vyumba vya Kubadilishia Nguo Wachezaji na Kumwaga Sumu ili Kuwadhoofisha Wachezaji wetu hali iliyosababisha Timu isiingie Vyumbani wakati wa Mapumziko.

4. Waandishi wa Habari wa Michezo walioongozana na Timu wamenyanyasika mno Uwanjani.

5. Mashabiki hasa wale ' Makomandoo ' wao waliufanyia Fujo Msafara wa Viongozi wa TFF uliokuwa ukiongozwa na Msemaji wa TFF Clifford Ndimbo.

6. Timu yetu imefanyiwa Vitendo vingi na vya Ajabu vya Kishirikina tena wazi wazi kabisa.

7. Watanzania waliokuwepo pale Uwanjani wametukanwa Matusi makubwa na ya Nguoni na Waburundi utadhani Sisi Tanzania hatujawasaidia katika Amani yao na hatujawatunzia Wakimbizi wao.

Tunaiomba Serikali ya Tanzania itupe ruhusa hata ya Kisirisiri tu ili tulipize Kisasi na washike Adabu hasa katika Mchezo wetu wa marudiano nao Siku ya Jumapili ya tarehe 8 Septemba 2019.

Mpaka sasa matokeo ni Burundi 1 na Tanzania 1 na zimebaki dakika si nyingi ( kama 3 tu ) Mtanange uweze Kumalizika rasmi.
 
Hawa wabunge wanajadili kipi ambacho ccm hawafanyi hapa nchini? Ni mara ngapi tunaona wapinzani wakifanyiwa ukatili wa wazi na ccm tena kwa uratibu wa jeshi la polisi? Wanajadili hayo ya Afrika kusini ili waonekane wanajali kumbe hawana lolote, iwapo hayo mashambulizi yangekuwa yanafanyika kwa faida ya ccm wangefumbia macho.
 
Hawa wabunge wanajadili kipi ambacho ccm hawafanyi hapa nchini? Ni mara ngapi tunaona wapinzani wakifanyiwa ukatili wa wazi na ccm tena kwa uratibu wa jeshi la polisi? Wanajadili hayo ya Afrika kusini ili waonekane wanajali kumbe hawana lolote, iwapo hayo mashambulizi yangekuwa yanafanyika kwa faida ya ccm wangefumbia macho.
Ukiwa mpinzani Tanzania ni ugonjwa, mnajifanya watoto wadogo wasiotaka kuguswa. Hakika hii miaka 5 mtasota mpaka akili iawarudi
 
Ukiwa mpinzani Tanzania ni ugonjwa, mnajifanya watoto wadogo wasiotaka kuguswa. Hakika hii miaka 5 mtasota mpaka akili iawarudi

Sasa hao wabunge wanajadili nini, kwa hiyo hawataki ukiwa mgeni huko Afrika kusini uguswe? Kwa taarifa yako hakuna mpinzani yoyote anayemuogopa mwanaccm yoyote kwa hoja za kisiasa au nje ya hoja za kisiasa, lakini vinapotumika vyombo vya dola kwa wapinzani ambao hawana silaha hapo inakuwa ni mambo mengine.
 
Hawa wabunge wanajadili kipi ambacho ccm hawafanyi hapa nchini? Ni mara ngapi tunaona wapinzani wakifanyiwa ukatili wa wazi na ccm tena kwa uratibu wa jeshi la polisi? Wanajadili hayo ya Afrika kusini ili waonekane wanajali kumbe hawana lolote, iwapo hayo mashambulizi yangekuwa yanafanyika kwa faida ya ccm wangefumbia macho.

Nyani huona la mwenziwe lake katu!
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema mpaka sasa hakuna Mtanzania aliyeuawa katika machafuko yaliyotokea nchini Afrika Kusini.

Profesa Kabudi ameyasema hayo leo Jumatano, Septemba 4, 2019 katika hafla maalum ya kuwaaga vijana 100 wanaokwenda nchini Israel kwa ajili ya mafunzo ya kilimo kwa vitendo.
Amesema Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Damas Ndumbaro amekuwa nchini humo kwa ajili ya kufuatilia mambo kadhaa na mpaka sasa hakuna taarifa ya kifo wala madhara kwa Mtanzania yeyote.

"Serikali ya Tanzania inaunga mkono tamko la Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa linalolaani mauaji ya Waafrika yanayoendelea hivi sasa. Taarifa zilizopo mpaka sasa hakuna Mtanzania aliyepata madhara," amesema Kabudi.

Aidha Kabudi amewataka Watanzania kutolipiza kisasi kwa wageni waishio hapa nchini.

"Tutawalinda, wapo salama wao na mali zao zitakuwa salama. Mahusiano kati ya nchi hizi mbili yataendelea," amesema Kabudi.

Pamoja na hayo, Wabunge wa Tanzania wametaka Bunge liahirishe shughuli zilizopangwa kwa siku ya leo Jumatano Septemba 4, 2019 ili wajadili vurugu zilizojitokeza nchini Afrika Kusini zinazowahusisha Waafrika.
Wabunge hao waliozungumzia suala hilo bungeni ni Elibariki Kingu (Singida Magharibi- CCM), Oscar Mukasa (Biharamuro Magharibi- CCM), John Heche (Tarime Vijijini-Chadema) na Godluck Mlinga (Ulanga Mashariki-CCM).

Aliyeanza alikuwa ni Mlinga wakati wa maswali na majibu ambaye aliwataka Waafrika Kusini kukumbuka kuwa isingekuwa Waafrika kuwa pamoja wangekuwa bado wanaimba mapambio ya makaburu.

Hata hivyo, baada ya maswali na majibu Kingu aliomba mwongozo wa Spika na kusema ametumiwa taarifa na Mtanzania aliyeko Afrika Kusini kuwa maduka yake yamechomwa.
Ccm ni kama mbwa, mikononi mwao wanapotezea ishu ya Lisu, azori, beni saanane, wakazi wa kibiti walopotra ati wanakemea matendo ya south Africa.

Shame on you ccm wauwaji wakubwa mnaowalilia waanga wa xenophobia uko south wakati mmejaa damu mikononi za akina azori.
Shame on you
 
Hawa wabunge wanajadili kipi ambacho ccm hawafanyi hapa nchini? Ni mara ngapi tunaona wapinzani wakifanyiwa ukatili wa wazi na ccm tena kwa uratibu wa jeshi la polisi? Wanajadili hayo ya Afrika kusini ili waonekane wanajali kumbe hawana lolote, iwapo hayo mashambulizi yangekuwa yanafanyika kwa faida ya ccm wangefumbia macho.
Wauaji wakubwa ccm na laana toka kwa Allah iwafike na uzao wao, haya mauaji ya hapa Tanzania ni laana kwao kubwa na dhuluma wanazozifanya.

Naamini Mungu yupo na hawezi kunyamazia dhuluma hizi nikiamini anawashugulikia kimya kimya kwani Allah hadhiakiwi katu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hawa wabunge wanajadili kipi ambacho ccm hawafanyi hapa nchini? Ni mara ngapi tunaona wapinzani wakifanyiwa ukatili wa wazi na ccm tena kwa uratibu wa jeshi la polisi? Wanajadili hayo ya Afrika kusini ili waonekane wanajali kumbe hawana lolote, iwapo hayo mashambulizi yangekuwa yanafanyika kwa faida ya ccm wangefumbia macho.
Ni wabunge wa CCM waliopinga bunge lisijadili swala la utekaji, ni hao wabunge wa CCM walikataa bunge kujadili mauwaji ya polisi pale kibiti!.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
1. Wamempiga Mwandishi wa Habari wa Michezo Bin Zubeiry na Kumuharibia Vifaa vyake vya Kazi.

2. Askari waliokuwepo Uwanjani walimfuata Mtanzania aliyekuwa akilinda Vyumba vya Wachezaji wetu na wakamtishia na Silaha na wakamuondoa kwa nguvu.

3. Wakati Mchezo wa Taifa Stars ( Tanzania ) na Intamba Murugamba ( Burundi ) ukiendelea ' Makomandoo ' wa Burundi waliingia katika Vyumba vya Kubadilishia Nguo Wachezaji na Kumwaga Sumu ili Kuwadhoofisha Wachezaji wetu hali iliyosababisha Timu isiingie Vyumbani wakati wa Mapumziko.

4. Waandishi wa Habari wa Michezo walioongozana na Timu wamenyanyasika mno Uwanjani.

5. Mashabiki hasa wale ' Makomandoo ' wao waliufanyia Fujo Msafara wa Viongozi wa TFF uliokuwa ukiongozwa na Msemaji wa TFF Clifford Ndimbo.

6. Timu yetu imefanyiwa Vitendo vingi na vya Ajabu vya Kishirikina tena wazi wazi kabisa.

7. Watanzania waliokuwepo pale Uwanjani wametukanwa Matusi makubwa na ya Nguoni na Waburundi utadhani Sisi Tanzania hatujawasaidia katika Amani yao na hatujawatunzia Wakimbizi wao.

Tunaiomba Serikali ya Tanzania itupe ruhusa hata ya Kisirisiri tu ili tulipize Kisasi na washike Adabu hasa katika Mchezo wetu wa marudiano nao Siku ya Jumapili ya tarehe 8 Septemba 2019.

Mpaka sasa matokeo ni Burundi 1 na Tanzania 1 na zimebaki dakika si nyingi ( kama 3 tu ) Mtanange uweze Kumalizika rasmi.

Hiyo timu ya Tanzania ilipaswa iwe ya wapinzani maana wana uzoefu wa hayo yote, kwani huwa wanafanyiwa hapa nchini kwa ushirikiano wa ccm na serikali chini ya uratibu wa vyombo vya dola. Hivyo tusilalamike kwa mambo ambayo hata hapa kwetu tunafanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe na tunaona ni sawa.
 
Hivi...aya wanayotokea huko S.A mbona huku yanafanyika sana dhidi ya wapinzani lakini Kabudi na wenzie wapo kimya
 
duuhh hii kali... sasa warundi wanatuchukulia kaa wahutu ama watuc?? sio poa asee.. serikali itoe tamko tuu hata kicr cri tuwaonesh kaz kweny marudiano hao wash**zi...
 
1. Wamempiga Mwandishi wa Habari wa Michezo Bin Zubeiry na Kumuharibia Vifaa vyake vya Kazi.

2. Askari waliokuwepo Uwanjani walimfuata Mtanzania aliyekuwa akilinda Vyumba vya Wachezaji wetu na wakamtishia na Silaha na wakamuondoa kwa nguvu.

3. Wakati Mchezo wa Taifa Stars ( Tanzania ) na Intamba Murugamba ( Burundi ) ukiendelea ' Makomandoo ' wa Burundi waliingia katika Vyumba vya Kubadilishia Nguo Wachezaji na Kumwaga Sumu ili Kuwadhoofisha Wachezaji wetu hali iliyosababisha Timu isiingie Vyumbani wakati wa Mapumziko.

4. Waandishi wa Habari wa Michezo walioongozana na Timu wamenyanyasika mno Uwanjani.

5. Mashabiki hasa wale ' Makomandoo ' wao waliufanyia Fujo Msafara wa Viongozi wa TFF uliokuwa ukiongozwa na Msemaji wa TFF Clifford Ndimbo.

6. Timu yetu imefanyiwa Vitendo vingi na vya Ajabu vya Kishirikina tena wazi wazi kabisa.

7. Watanzania waliokuwepo pale Uwanjani wametukanwa Matusi makubwa na ya Nguoni na Waburundi utadhani Sisi Tanzania hatujawasaidia katika Amani yao na hatujawatunzia Wakimbizi wao.

Tunaiomba Serikali ya Tanzania itupe ruhusa hata ya Kisirisiri tu ili tulipize Kisasi na washike Adabu hasa katika Mchezo wetu wa marudiano nao Siku ya Jumapili ya tarehe 8 Septemba 2019.

Mpaka sasa matokeo ni Burundi 1 na Tanzania 1 na zimebaki dakika si nyingi ( kama 3 tu ) Mtanange uweze Kumalizika rasmi.
Wanajua kia hii ni timu inayotoka kwenye nchi ambayo inafuata mtindo wa Nkurunzinza na Kagame dhidi ya Upinzani
 
Ni wabunge wa CCM waliopinga bunge lisijadili swala la utekaji, ni hao wabunge wa CCM walikataa bunge kujadili mauwaji ya polisi pale kibiti!.

Wanafiki wakubwa, hawana lolote la maana la kujadili, saa hii wamepata jambo la kupotezea muda ndio wanajifanya wazalendo.
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema mpaka sasa hakuna Mtanzania aliyeuawa katika machafuko yaliyotokea nchini Afrika Kusini.
Profesa Kabudi ameyasema hayo leo Jumatano, Septemba 4, 2019 katika hafla maalum ya kuwaaga vijana 100 wanaokwenda nchini Israel kwa ajili ya mafunzo ya kilimo kwa vitendo.
Amesema Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Damas Ndumbaro amekuwa nchini humo kwa ajili ya kufuatilia mambo kadhaa na mpaka sasa hakuna taarifa ya kifo wala madhara kwa Mtanzania yeyote.
"Serikali ya Tanzania inaunga mkono tamko la Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa linalolaani mauaji ya Waafrika yanayoendelea hivi sasa. Taarifa zilizopo mpaka sasa hakuna Mtanzania aliyepata madhara," amesema Kabudi.
Aidha Kabudi amewataka Watanzania kutolipiza kisasi kwa wageni waishio hapa nchini.
"Tutawalinda, wapo salama wao na mali zao zitakuwa salama. Mahusiano kati ya nchi hizi mbili yataendelea," amesema Kabudi.
Pamoja na hayo, Wabunge wa Tanzania wametaka Bunge liahirishe shughuli zilizopangwa kwa siku ya leo Jumatano Septemba 4, 2019 ili wajadili vurugu zilizojitokeza nchini Afrika Kusini zinazowahusisha Waafrika.
Wabunge hao waliozungumzia suala hilo bungeni ni Elibariki Kingu (Singida Magharibi- CCM), Oscar Mukasa (Biharamuro Magharibi- CCM), John Heche (Tarime Vijijini-Chadema) na Godluck Mlinga (Ulanga Mashariki-CCM).
Aliyeanza alikuwa ni Mlinga wakati wa maswali na majibu ambaye aliwataka Waafrika Kusini kukumbuka kuwa isingekuwa Waafrika kuwa pamoja wangekuwa bado wanaimba mapambio ya makaburu.
Hata hivyo, baada ya maswali na majibu Kingu aliomba mwongozo wa Spika na kusema ametumiwa taarifa na Mtanzania aliyeko Afrika Kusini kuwa maduka yake yamechomwa.
Macho yangu yana makengeza mbona sioni lolote kuhusu Burundi! Naona Afrika Kusini na pongezi za waziri wa mambo ya nje ka kawaida yetu! Wenzetu Nigeria wamepeleka malalamiko sisi tunapongeza! Nchi ya hivyo isiyojali raia wake.
 
duuhh hii kali... sasa warundi wanatuchukulia kaa wahutu ama watuc?? sio poa asee.. serikali itoe tamko tuu hata kicr cri tuwaonesh kaz kweny marudiano hao wash**zi...
eti serikali itoe tamko ht kisirisiri,, hao waburundi kuwashambulia na kuwafanyia hujuma unadhani serikali yao ilitoa tamko au uhamuzi wao,, sisi tulivyo mazuzu tutawapokea vizuri na tutawalaza kempisk hotel
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom