Anayewatengenezea Samsung battery za A-Series ni kiboko

Mzee sikatai point yako,
Simple physics
High performance = High powe consuption

Ila factor ya kwanza kwa simu kukaa na charge ni uwezo mkubwa wa battery,
Ila baada ya hapo ndio processor inaingia..

Na hapa ili ueleweke inabidi uchukue simu mbili zenye ujazo sawa wa battery lakini zinazotumia processors zenye uwezo tofauti,

MFANO

A- series zinagonga Mpaka 5000mAh mfano A31, huu mzigo si haba,
S20 ultra naye ana 5000mAh ila hamfikii A31 sababu ya Chipset yake..

Baada ya hapo kuna factor nyingi piaa,

Kwahio mi naona bado Battery size Matter.

MTOA MADA
Nakukumbusha samsung "M" series ndio kiboko ya charge, hizo "A" series zikasome.
Zinagonga 6000mAh...

Za 7000mAh zipo njiani.
i beg to differ mkuu, kuna simu zina mah 2600 zinakimbiza simu za mah 5000, size pekee haina tija bila kuangalia processor, manufacturing process, display etc
 
Mkwawa una lipi la kusema kuhusu A21s
kwa ukaaji chaji ipo vizuri sana mkuu, sema ndio umemaliza, ukienda perfomance, camera na mengineyo ni simu ya kawaida sana, inapitwa hadi na Original A10 kwenye perfomance.
gsmarena_333.jpg
 
i beg to differ mkuu, kuna simu zina mah 2600 zinakimbiza simu za mah 5000, size pekee haina tija bila kuangalia processor, manufacturing process, display etc

Kama umeona sijakataa boss ila Nimeongezea msisitizo,

Chukulia mfano S20 ultra ina hio 5000mAh na endurance rating ya 87h,
A21s ana 5000mAh pia na endurance rating ya 119h..

Hilo gap sio la kushangaza sababu ya utofauti wa vitu kma Chipset, refresh rate, ppi/resolution n.k.

Sasa kwa nini nasema battery size still matter a lot,

Chukulia S20 ultra hii ingekua na hio 2600mAh kama ya J5 2015?

Ungetarajia nini?
Hata nusu siku usingemaliza, lakini sbb imewekwa ni kwenye simu yenye performance ndogo basi haina shida, utaona inamaliza siku.

Kwa hio Sikatai na sitokataa, hoja yako chief,
Ila Its simple logic ....
kama hivyo vitu vinakula charge zaidi, basi jitahidi kupunguza effect kwa kuweka battery kubwa angalau ku compensate Battery life...

Hapa tunazungumzia
High performance Smartphone vs Small battery size.
Matokeo yake ni nini kaka?
 
Kama umeona sijakataa boss ila Nimeongezea msisitizo,

Chukulia mfano S20 ultra ina hio 5000mAh ina endurance rating ni 87h,
Chukua A21s ana 5000mAh pia na endurance rating ya 119h..

Hilo gap sio la kushangaza sababu ya utofauti wa vitu kma Chipset, refresh rate, ppi/resolution n.k.

Sasa kwa nini nasema battery size still matter a lot,

Chukulia S20 ultra hii ingekua na hio 2600mAh kama ya J5 2015?

Ungetarajia nini?
Hata nusu siku usingemaliza, lakini sbb imewekwa katika simu ndogo basi haina shida..

Sikatai na sitokataa, hoja yako chief
Ila Its simple logic ....
kama hivyo vitu vinakula charge zaidi, basi jitahidi kupunguza effect kwa kuweka battery kubwa angalau ku compensate Battery life...

High performance Smartphone vs Low battery size...
Matokeo yake ni nini kaka?
Ni kweli mkuu, nakubaliana na Logic hii.
 
Nashukuru...

Sasa mzee nisaidie nina shida na
Latest M31s, hii ngoma inauzwa amazoni na baazi ya samsung stores tuu..

Naweza kuipataje?
Kumbuka amazon hawa ship Tz
Hizi kazi za Mwl.RCT sijui yupo wapi

Unaweza Tumia Ship and Shop mwenyewe sema registration fee tu ni dola 10, bado kuna cost nyengine za shiping kama Dola 15

Ipo playstore
 
#chief mkwawa naomba msaada hapa, nimeuza simu yangu s8+ ilikuwa inatumia snapdragon kama inavyoonekana ktk screenshort hapa, nimehitaji kununua s8+ nyingine sijapata toleo kama la simu niliyouza.. je unanishauri nini hapo?
IMG-20200804-WA0004.jpg
IMG-20200808-WA0002.jpg
 
kwa ukaaji chaji ipo vizuri sana mkuu, sema ndio umemaliza, ukienda perfomance, camera na mengineyo ni simu ya kawaida sana, inapitwa hadi na Original A10 kwenye perfomance.
gsmarena_333.jpg
Mkuu wapi naweza pata A10 original kwa Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom