Madhara.Kama kichwa cha Habari hapo juu kinavyojieleza, kama kuna mtu anayeweza kuniuziaa hiyo kitu itapendeza sana. Na ningependa kujua kama kuna madhara yoyote ya kutumia till namba ya mtu mwingine naomba msaada wenu tafadhari.
Kimagumashi inawezekana ila likitokea la kutokea ndio shida na kwa sasa voda wamebana sana ukipoteza till kuiludisha mpaka uwe na document zote hebu fikiria ikipotea na hela itakuwajeKwani Hairuhusiwi kisheria ndugu.
Sasa kuna utaratibu gani wa kufanya ili nipate yangu mwenyewe?Kimagumashi inawezekana ila likitokea la kutokea ndio shida na kwa sasa voda wamebana sana ukipoteza till kuiludisha mpaka uwe na document zote hebu fikiria ikipotea na hela itakuwaje
Nenda vadashop ukiwa na .Tin. Leseni ya biashara. Na kitambulisho chako watakutengezeaSasa kuna utaratibu gani wa kufanya ili nipate yangu mwenyewe?
PamojaThanks very much mr. Andrew
Unabadilishiwa Kwa majina yako!unaenda na vitambulisho vyake,unaomba kubadilisha jina!nmeshafanya ivyo!ata Tigo pia ivyo!ninazo till kibao nmebadilisha Kwa majina yangu zte.Sasa kuna utaratibu gani wa kufanya ili nipate yangu mwenyewe?
Till za kununua sio nzuri wakiifungia au labda kurenew kama imepotea bila Tin namba, lesen na kitambulisho cha muhusika alichotumia kutengeneza lain haupati laini hata kama ina hela imekula kwakoKama kichwa cha Habari hapo juu kinavyojieleza, kama kuna mtu anayeweza kuniuziaa hiyo kitu itapendeza sana. Na ningependa kujua kama kuna madhara yoyote ya kutumia till namba ya mtu mwingine naomba msaada wenu tafadhari.