Anayetaka mke mwalimu

Anayetaka mke mwalimu

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,664
Pamoja na kwamba tabia za kila aina zipo katika kila kundi na kabila, lakini uchunguzi wangu wa muda mrefu umenishawishi kwamba wanawake walimu ni waadilifu zaidi kulinganisha na makundi mengine.

Sasa anayetaka mke mwalimu aende jukwaa la elimu kwenye uzi wowote unaohusu ajira za ualimu, kumgundua kama ni mwalimu, utaona jinsi anavyolalama kuhusu ajira. Kumgundua kama ni mwanamke - akili zako changanya na za kupewa.

Najua nitakuwa nimesaidia wengi sana.

Note: Munkari msimguse nitampm muda si mrefu.

cc: mimi49, Heaven on Earth, farkhina
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaaaa, Munkari unamjua vizuri kweli?

Sitaki kuja kusikia ukilia lia hapa.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa kwa maana hyo ambao sio walimu ni majanga? mmmh idont thnk so
 
Pamoja na kwamba tabia za kila aina zipo katika kila kundi na kabila, lakini uchunguzi wangu wa muda mrefu umenishawishi kwamba wanawake walimu ni waadilifu zaidi kulinganisha na makundi mengine.

Sasa anayetaka mke mwalimu aende jukwaa la elimu kwenye uzi wowote unaohusu ajira za ualimu, kumgundua kama ni mwalimu, utaona jinsi anavyolalama kuhusu ajira. Kumgundua kama ni mwanamke - akili zako changanya na za kupewa.

Najua nitakuwa nimesaidia wengi sana.

Note: Munkari msimguse nitampm muda si mrefu.

cc: mimi49, Heaven on Earth, farkhina

Hahahaaaa kwa maana hyo ambao sio walimu ni majanga? mmmh idont thnk so

Hapana. Nadhani anamaanisha kuwa ukitafuta wanawake wanaoongoza kwa maadili mazuri sana, utakuja kukuta kuwa wanaoongoza katika kundi la wanawake wa namna hiyo ni wale wanaofanya kazi ya ualimu.
 
ngoja nianze kuzungukia waalimu wa Grade III A!

hapa najua life is made easy!
 
Nilidhani mwanzisha Uzi ni Mwalimu wa Kike anatafuta mume acha nikimbilie kufungua. Nyooooooo

si ndo hapo!.mie nalifikiri jamaa amekuja na kontena limejaa walimu wa kike ambao bado kuolewa, kuingia nakutana na 0%..
 
Nilijiandaa kumpm mtu mwisho nimeishiwa poz anyway nitarifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom