wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Kama hilo tu limewashinda,kuongoza watu na ile Idara ya Msigwa ndo wataiweza?
Hiyo idara ya mawasiliano ifumuliwe iundwe na watu wenye uwezo huo...
Hivi Kama taarifa tu Wana boronga hivyo, je kukusanya taarifa za matokeo ya uchaguzi wataweza?
Je wanaweza kufanya propaganda kipindi Hiki Cha kampeni?...