Jaribu kuiseti vizuri upata japo H+.Mimi kwangu naona kwa sasa inasoma Roming tu, sijaona 4G kwa miezi kadhaa sasa na niko dar es salaam tena posta mpya hiyo roming ukitoa ndio balaa hata watsap haiwez kuingia
Ya Dodoma au ya wapi mkuuHuu mtandao nasikia hadi uwe karibu na barabara kuu ili upate mawasiliano vyema.
KuchachaNyumbani panataka kuwaje tena
nnamoderm yao iliuwa inasoma 4G ila nispeed konokono nikamua kuiflekelea mbali...........Au Anayepata 4G ajifanye kama anjikuna kichwa tu tumuone.
Hakuna 4G nzuri kama ya ttcl,mkuu simu yako itakuwa ina matatizo!!