Anayepajua vizuri Manyossa Swimming Pool and Pub afunguke

Anayepajua vizuri Manyossa Swimming Pool and Pub afunguke

Huyo anaekukamata ni nani? Pilisi,uhamiaji au? Kwa kosa gani? Kuna sheria siku hizi lazima utembee NID card?
acha kujizima data. Waliotangaza kuhusu nida na guest ni nani? Au ulikuwa hujazaliwa ndo maana hukusikia. Hayo ni majaribu sasa
 
Hapo " Kuku wa kienyeji" Nimemaanisha watoto wa 2006-2008 mkuu na haina maana Mimi wa kishua.. Hakuna thread hata moja humu jukwaani niliyo post nikimaanisha Mimi wa kishua.. Na toka uswazi haswa nyumba mganga nyumba mchawi.

Wewe mhenga inaokena una concept ya " Kuku wa kienyeji" Kumaanisha demu wa uswazi kama alivyo sema Mwana FA kwenye " Hii Leo".

Misamiati ime change sana mkuu. Siku hizi hata kwenye ngumi jamaa anakwambia " YAKANYAGE" . Zamani mlikuwaga mnaambiwa " LIANZISHE"
Nilitaka nishangae,eti gagula leo kaitwa mtoto wa kishua,safi kwa good explanation....#Gagula...
 
Aidha ulikuwa unadarizi mitandaoni ukatukana nayo, au ulipita pale miaka mitatu iliyopita ukaliwa na hela ya nauli na kutolea.....
Inaonekana hiko kiwanja kilishakufa miaka mitatu iliyopita kama kawaida ya bongo, kunavuma halafu kwishnei

View attachment 3635717
View attachment 3635718
View attachment 3635719
View attachment 3635720

Nilishawahi kwenda pale kama miaka miwili imepita.. Napajua kwa zamani ingawa sasa hivi sijui pakoje yes palipooza hapa Kati but nasikia tetesi pameanza kuwaka tena I was asking kama kuna mtu ameenda hivi karibu ni ili ni confirm
 
hapa tunaongelea wapi kamanda. Ok ni viwanjan. Guest hakuna mtu wa kukamata huko coz kila anayeenda huko ana nida
, 🤣🤣🤣

Hii Kali mkuu
 
acha kujizima data. Waliotangaza kuhusu nida na guest ni nani? Au ulikuwa hujazaliwa ndo maana hukusikia. Hayo ni majaribu sasa
Kwa akili hizi mtapigwa sana. Hamjitambui.
 
Hajui kwamba " Kuku wa kienyeji" Maana yake mademu wa uswazi " Mademu asilia wasio vaa mawigi"
Najua maana yake ndio maana nikasema humu wengi wa kishua hamkai kwetu Tandale au Keko kwa mfuga mbwa, ndio maana siku moja moja mnawamiss dada zetu wa kitaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom