Mkabala na passion/Mkapa tower au imalaseko super market... au inapoishia posta mpya ukikunja tu... ndio hapo hapo.....Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kilivyoeleza. Natafuta location ya ofisi za bodi ya korosho Dar, au kama kuna mtu yeyote mwenye mawasiliano na yeyote anayefanyia bodi ya korosho hata aliyeko Mtwara head office.
Natanguliza shukrani.
Mkabala na passion/mkapa tower au imalaseko super market... au inapoishia posta mpya ukikunja tu... ndio hapo hapo.....
Sent from "La -Vista"
Ukitoka ofisi ya posta mpya jengo linalofuata ikiwa unatokea makataba unaenda askari mornament. Mlango wa kuingilia upo kwenye angle ya hilo jengo kama unataka kukunja kushoto uende Imalaseko. Hope umenielewa