Ngoja nijaribu hii pia ijapokuwa. Innaonesha hivi
Copy hizo code kasoro comments huko juu zenye #View attachment 3522786inaonesha hivi, kwahiyo niingilie kwenye computer
Tumia CentOS au Ubuntu 22 or 24 LTSWakuuu asalam asifiweee
Moja kwa moja to the point, nimekuwa natumia windows 10 pro, imekuwa ikinidai kuactivate windows mara kwa mara
Mara ya kwanza nilitoa hela kusaidiwa kuactivate sasa jamaaa akaweka external yake akafanya anavovijua chap chaoa huku akinificha akawa anatumia commands tu🤣🤣🤣
Nikatoka mweupeeeee😮, sasa wakuuu saizi sitaki tena kutoa hela yangu hapa kuactivate maana chatgpt ananiambia nilipie license ila siwezi kulipia license ili kutumia Microsoft word na wenzake.....
Anyway, akina Poor Brain Vincenzo Jr Rayns immortanity Mshana Jr msaada please
Wakuu naomba msaada wa hili, ahsante
Sawa sawa ngoja nifanye hivoCopy hizo code kasoro comments huko juu zenye #
Aaaah sasa mkuu me kitu nachojua kwenye computer ni computer basics sijasoma IT, so mnaponiambia ubuntu au centOS me sizifahamu 😌😌Tumia CentOS au Ubuntu 22 or 24 LTS
Hizo si kama windows hazihitaji hata kuwa mtu wa IT Ili kuzitumia. Ni kama ilivyo iOS na Android ndivyo zilivyo hizoAaaah sasa mkuu me kitu nachojua kwenye computer ni computer basics sijasoma IT, so mnaponiambia ubuntu au centOS me sizifahamu 😌😌
Upo connected na Internet?Naona kwangu hiyo link inaniambia error
Shukrani sana wote mlotoa mawazo yenu katika hiii madaUpo connected na Internet?
zifuatilie hata yutube ujifunze kuzitumia.. ukiwa tayari nambie nkutumie link udownloadDaaah nzo kwanza nazijua leo hizo
Hapo itakuwa uhakika sana ngoja nifanye hivoozifuatilie hata yutube ujifunze kuzitumia.. ukiwa tayari nambie nkutumie link udownload
poa poa mkuu..Hapo itakuwa uhakika sana ngoja nifanye hivoo
Karibu sana mkuu...Shukrani sana wote mlotoa mawazo yenu katika hiii mada
Chief-Mkwawa
Poor Brain
mshamba_hachekwi
Nimetumia hiyo link na imekubali nimefanikiwa kuactivate windows na office vyotee ahsanteni sana wakuu💯💯🔥🙏🙏
Aanze na Arch btw. Ukijifunzia kuendesha lori iST haitakushinda.Tumia CentOS au Ubuntu 22 or 24 LTS
Usijali mkuu pamoja sanaKaribu sana mkuu...
Sasa siku na mi nikisema niunganishe na mishangazi ukatae oyaaa tutazinguana humu
Nitaranya hivo mkuuAanze na Arch btw. Ukijifunzia kuendesha lori iST haitakushinda.
Nenda github ukadownload Microsoft Activation Scripts kisha zitumie kufanya activation ya products za MicrosoftWakuuu asalam asifiweee
Moja kwa moja to the point, nimekuwa natumia windows 10 pro, imekuwa ikinidai kuactivate windows mara kwa mara
Mara ya kwanza nilitoa hela kusaidiwa kuactivate sasa jamaaa akaweka external yake akafanya anavovijua chap chaoa huku akinificha akawa anatumia commands tu🤣🤣🤣
Nikatoka mweupeeeee😮, sasa wakuuu saizi sitaki tena kutoa hela yangu hapa kuactivate maana chatgpt ananiambia nilipie license ila siwezi kulipia license ili kutumia Microsoft word na wenzake.....
Anyway, akina Poor Brain Vincenzo Jr Rayns immortanity Mshana Jr msaada please
Wakuu naomba msaada wa hili, ahsante
MkuuNitaranya hivo mkuu