Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

Inatakiwa iwe hivo.. Maana windows 10 imekua deactivated tangu octoba mwaka huu.. Hiyo utahangaika nayo miaka yote haiji kukaa sawa. Utaiactivate leo ikawa sawa lakin baada ya kuwasha data tu utaona inazngua. Labda upate cracked version (kama unaipenda sana hyo windows 10).

njia nzuri ni mbili tu.
1.Weka windows 11
2.Hama kabisa kwenye windows amia linux. Huto sikia huo ujinga wa windows.
Linux iko fresh? Na inawekwaje?
 
Unataka kuninyima ela nini eti shem🤣 sikia mi kwenye cv nimejaza nina strong computer skills kwenye microsoft office, nakuhakikishia zaidi ya Ms word sina nnachoelewa😢
Aaah naona umechukia kuitwa shem mpaka kuamua kuninyima namna ya kuactivate window 😳😳😳😳😳
 
Linux iko fresh? Na inawekwaje?
1. elementary OS ·
2. ubuntu
3. deepin Linux ·
4. Linux Mint ·
5. Zorin OS.

Kama huna utaalamu sana nakushauri utumie ubuntu.

Hizo zote zinakuja na fuu package, kuanzia offices, drivers, players, browsers, internet drivers and tools, developer tools, built in vpn, app store, na inakua na systm ya kukuruhusu kutumia app yoyote ya windows. Plus kila kitu ni bure, hulipii hata shng kumi. japo wana option ya kuamua kufanya donations.

Ilianzishwa na hacker na ndo tool kubwa kwa hackers.

Serching engine yao ni duckduck go.
 
1. elementary OS ·
2. ubuntu
3. deepin Linux ·
4. Linux Mint ·
5. Zorin OS.

Kama huna utaalamu sana nakushauri utumie ubuntu.

Hizo zote zinakuja na fuu package, kuanzia offices, drivers, players, browsers, internet drivers and tools, developer tools, built in vpn, app store, na inakua na systm ya kukuruhusu kutumia app yoyote ya windows. Plus kila kitu ni bure, hulipii hata shng kumi. japo wana option ya kuamua kufanya donations.

Ilianzishwa na hacker na ndo tool kubwa kwa hackers.

Serching engine yao ni duckduck go.
Kama unauzoefu kiasi wa namna ya kuoperate pc na ku driver programs basi nenda kwenye Linux Minti moja kwa moja.. Utakuja kunishukuru siku nikifa
 
Mchina nae anaomba msaada wa masuala ya compyuta. Si maajabu haya jamani?
 
Back
Top Bottom