Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

Anayejua laptops vizuri anielekeze hili

Xiao qui shui

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2022
Posts
6,203
Reaction score
10,840
Wakuuu asalam asifiweee

Moja kwa moja to the point, nimekuwa natumia windows 10 pro, imekuwa ikinidai kuactivate windows mara kwa mara

Mara ya kwanza nilitoa hela kusaidiwa kuactivate sasa jamaaa akaweka external yake akafanya anavovijua chap chaoa huku akinificha akawa anatumia commands tu🤣🤣🤣

Nikatoka mweupeeeee😮, sasa wakuuu saizi sitaki tena kutoa hela yangu hapa kuactivate maana chatgpt ananiambia nilipie license ila siwezi kulipia license ili kutumia Microsoft word na wenzake.....

Anyway, akina Poor Brain Vincenzo Jr Rayns immortanity Mshana Jr msaada please


Wakuu naomba msaada wa hili, ahsante
 
Njia za kufanya activation za window ni rahisi achana na masuala ya kulipia 😀 au kumlipa mtu labda akuuzie original licence Pekee lakini nyingi unaweza kufanya activation mwenyewe.

Kuna njia mbili kuu za kufanya activation
1. CMD command prompt
2. KMS AUTO activation

1. CMD
Hii ni njia ambayo unatumia command prompt ya kompyuta yako ambayo inaitwa CMD au black door 🚪 kuweza kufanya activation ya window yako bure bila kulipia chochote na kuibadili labda Toka home kwenda Professional, ultimate nk.

2. KMS
hii inakua unatumia app inaitwa KMS unapaswa kuwa makini baadhi zinakuja na virusi , utaweza kuondoa license burw Kwenye desktop au laptop yako.
 
Njia za kufanya activation za window ni rahisi achana na masuala ya kulipia 😀 au kumlipa mtu labda akuuzie original licence Pekee lakini nyingi unaweza kufanya activation mwenyewe.

Kuna njia mbili kuu za kufanya activation
1. CMD command prompt
2. KMS AUTO activation

1. CMD
Hii ni njia ambayo unatumia command prompt ya kompyuta yako ambayo inaitwa CMD au black door 🚪 kuweza kufanya activation ya window yako bure bila kulipia chochote na kuibadili labda Toka home kwenda Professional, ultimate nk.

2. KMS
hii inakua unatumia app inaitwa KMS unapaswa kuwa makini baadhi zinakuja na virusi , utaweza kuondoa license burw Kwenye desktop au laptop yako.
Sasa mkuu hii ya command naitumiaje mkuu maelekezo basii xmass hiii naitegemea word kwa malipo
 
Windows 10 pro mkuu
Fsnya HIVI kuweza kufanya activation ya window 10 pro kupitia CMD

1. Kwanza Fungua sehemu ya ku Search andika CMD kisha run as Administrator hakikisha huko kwenye intaneti.

2. Kisha andika hivi
  • Anza Kwa kuandika hivi slmgr /ipk W269N-WFGWX-YVC9B-4J6C9-T83GX kisha piga Enter ikimaliza piga OKAY
  • Kisha andika hivi tena chini yake slmgr /skms kms8.msguides.com ukimaliza piga Enter kisha OK
  • malizia Kwa kuandika slmgr /ato piga Enter angalia maelezo watayokuletea kama Iko activation au lah ikikataa tuambie
 
Fsnya HIVI kuweza kufanya activation ya window 10 pro kupitia CMD

1. Kwanza Fungua sehemu ya ku Search andika CMD kisha run as Administrator hakikisha huko kwenye intaneti.

2. Kisha andika hivi
  • Anza Kwa kuandika hivi slmgr /ipk W269N-WFGWX-YVC9B-4J6C9-T83GX kisha piga Enter ikimaliza piga OKAY
  • Kisha andika hivi tena chini yake slmgr /skms kms8.msguides.com ukimaliza piga Enter kisha OK
  • malizia Kwa kuandika slmgr /ato piga Enter angalia maelezo watayokuletea kama Iko activation au lah ikikataa tuambie
Imegoma mkuu
 
Kama sio mtu wa hivi vitu, ni ngumu sana kufanya kwa kuelekezwa hapa. Hata hiyo KMS bado huwa kuna namna haipatikani kiwepesi, japo ni bure.

CMD ndo usiseme
Jaribu YouTube, napo kama sio wa hivi vitu hutoboi
 
Wakuuu asalam asifiweee

Moja kwa moja to the point, nimekuwa natumia windows 10 pro, imekuwa ikinidai kuactivate windows mara kwa mara

Mara ya kwanza nilitoa hela kusaidiwa kuactivate sasa jamaaa akaweka external yake akafanya anavovijua chap chaoa huku akinificha akawa anatumia commands tu🤣🤣🤣

Nikatoka mweupeeeee😮, sasa wakuuu saizi sitaki tena kutoa hela yangu hapa kuactivate maana chatgpt ananiambia nilipie license ila siwezi kulipia license ili kutumia Microsoft word na wenzake.....

Anyway, akina Poor Brain Vincenzo Jr Rayns immortanity Mshana Jr msaada please


Wakuu naomba msaada wa hili, ahsante
Mkuu bado una ishu ya window activation kwani..
Ni jambo la kukutumia zipped file ambalo utakua unatumia ku activate window na Microsoft office
 
Maanake nipige Windows 11 au
Inatakiwa iwe hivo.. Maana windows 10 imekua deactivated tangu octoba mwaka huu.. Hiyo utahangaika nayo miaka yote haiji kukaa sawa. Utaiactivate leo ikawa sawa lakin baada ya kuwasha data tu utaona inazngua. Labda upate cracked version (kama unaipenda sana hyo windows 10).

njia nzuri ni mbili tu.
1.Weka windows 11
2.Hama kabisa kwenye windows amia linux. Huto sikia huo ujinga wa windows.
 
Back
Top Bottom