Anayejua free VPN ya kweli anisaidie

Anayejua free VPN ya kweli anisaidie

Abdul Bilal

Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
88
Reaction score
15
Habari wakuu
Ebana ninaomba kama kuna mtu anajua free vpn ya kweli kwa ajili ya windows anisaidie.
Nilikuwa natumia Hotspot Shield naona sasa hivi hai conect
Shukran
 
kama hujali speed tumia tor

pia sometime si lazima kutumia vpn, software za proxy pia zinaweza kamilisha hio kazi. mfano wa program hizo ni kama

-psiphon
-ultra surf

utapata free unlimited for life. sema zinachange system proxy automatic ukumbuke manual kuzitoa ukimaliza shughuli zako.
 
kama hujali speed tumia tor

pia sometime si lazima kutumia vpn, software za proxy pia zinaweza kamilisha hio kazi. mfano wa program hizo ni kama

-psiphon
-ultra surf

utapata free unlimited for life. sema zinachange system proxy automatic ukumbuke manual kuzitoa ukimaliza shughuli zako.
yani mkuu hzo mbili zote hazina kazi huku
kuna moja nilikuwa natumia inaitwa Keep Solid Vpn Unlimited, sasa nayo ilikuwa ni Trial tu, basi imeisha muda imekwama na sijaweza kupata full cracked yake.
 
jamani kuna mtu anajua hii software ya NMDVPN nataka nifanye makarate ila sasa tatizo ni confgr kwa hapa tanzania sielewi pia ujanja wangu uko chiini kidogo
 
yani mkuu hzo mbili zote hazina kazi huku
kuna moja nilikuwa natumia inaitwa Keep Solid Vpn Unlimited, sasa nayo ilikuwa ni Trial tu, basi imeisha muda imekwama na sijaweza kupata full cracked yake.
mkuu naomba ujuzi hiyo Keep Solid Vpn Unlimited ina saidia nini hasa plz
 
unajua kutumia open vpn? hio sio software hio ni configuration tu.

itabidi udownload open vpn mwenyewe ueke hio config.
Daaah mm huwa natumia hizi softwre, ila kama kuna njia ya kunielewesha namna ya kutumia open vpn na kuweka hizo config, nitashukuru mno, maana huku mambo yamekuwa balaa. Software fungafunga
 
Msaada wa simu yangu BLU X 8 hai support 3G nimehangaika sana kkoo imeshindikana coz ina setting za com.mediatec kwa mujibu wa mafundi
 
Msaada wa simu yangu BLU X 8 hai support 3G nimehangaika sana kkoo imeshindikana coz ina setting za com.mediatec kwa mujibu wa mafundi
Screenshot_2018-01-06-12-22-02.png
 
Daaah mm huwa natumia hizi softwre, ila kama kuna njia ya kunielewesha namna ya kutumia open vpn na kuweka hizo config, nitashukuru mno, maana huku mambo yamekuwa balaa. Software fungafunga
kama unaweza ingia youtube angalia utaona jinsi ya kufanyia configuration sio ngumu, ukishindwa rudi baadae nitakuandalia tutorial.
 
Back
Top Bottom